Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Wednesday, July 16, 2014

MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YATOKA,YAANGALIE HAPA

                      

MATOKEO YA KIDATO CHA 6 2014 YATANGAZWA

Matokeo ya mtihani wa kidato cha 6 yaliyofanyika tarehe Mei 5 – 21, yametoka.

Jumla ya watahiniwa 38,905 sawa na asilimia 95.98 ya watahiniwa waliofanya mtihani kidato cha 6 wamefaulu. Wasichana waliofaulu ni 12,080 na wavulana waliofaulu ni 26,825

Watahiniwa waliopata division IV ni 4,420 sawa na asilimia 12.54

Watahiniwa waliopata zero (0) ni 612 sawa na asilimia 1.74.


BOFYA HAPA KUONA MATOKEO HAYO

No comments:

Post a Comment