Salma jabu nisha ndio msanii pekee namba
moja ambae anaongoza kwa filamu zake na alizo shiriki kuwa zinaongoza kwa mauzo
sokoni mpaka sasa hajapatikana wa kumpiku hii ina tokana na uhodari wake wa
kujituma na kujiheshimu na kuwapa radha mashabiki wake na Rekodi yake
haijavunjwa mpaka sasa sokoni na kupachikwa jina la Diva wa soko la
filamu tanzania
NAIBU WAZIRI KIHENZILE AFUNGUA MKUTANO WA 18 WA PAMOJA WA MAPITIO YA SEKTA
YA USAFIRISHAJI
-
Naibu Waziri wa Uchukuzi, Mhe. David Kihenzile, Disemba 15, 2025 amefungua
rasmi Mkutano wa 18 wa Pamoja wa Mapitio ya Sekta ya Usafirishaji
unaofanyi...
40 minutes ago


No comments:
Post a Comment