Salma jabu nisha ndio msanii pekee namba
moja ambae anaongoza kwa filamu zake na alizo shiriki kuwa zinaongoza kwa mauzo
sokoni mpaka sasa hajapatikana wa kumpiku hii ina tokana na uhodari wake wa
kujituma na kujiheshimu na kuwapa radha mashabiki wake na Rekodi yake
haijavunjwa mpaka sasa sokoni na kupachikwa jina la Diva wa soko la
filamu tanzania
CAMARTEC YABUNI TEKNOLOJIA MPYA KUINUA SEKTA YA KILIMO NA UFUGAJI
-
Kituo cha Zana za Kilimo na Teknolojia Vijijini (CAMARTEC) kimeanzisha
mbinu mpya za mafunzo kwa wakulima kuhusu usindikaji wa mazao, ikiwemo
mwani korosho...
2 hours ago


No comments:
Post a Comment