Salma jabu nisha ndio msanii pekee namba
moja ambae anaongoza kwa filamu zake na alizo shiriki kuwa zinaongoza kwa mauzo
sokoni mpaka sasa hajapatikana wa kumpiku hii ina tokana na uhodari wake wa
kujituma na kujiheshimu na kuwapa radha mashabiki wake na Rekodi yake
haijavunjwa mpaka sasa sokoni na kupachikwa jina la Diva wa soko la
filamu tanzania
MIAKA 18 BAADAYE: JK AKUTANA TENA NA CATHERINE, BINTI ALIYEFANYIWA UPASUAJI
WA MOYO AKIWA NA MIAKA MINNE
-
RAIS mstaafu wa Awamu ya Nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, leo Mei 29, 2026
amekutana tena na Bi. Catherine P. Conrad Minja, aliyefanyiwa upasuaji wa
moy...
17 hours ago


No comments:
Post a Comment