Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Wednesday, July 9, 2014

TANZIA:EMANUEL JOSEPH MBUZA MMILIKI WA SWEET FM MBEYA AFARIKI DUNIA

                                                    Joseph Mbuza Enzi za uhai wake
Habari Za kusikitisha na zilizofika kwenye dawati letu la Habari ni kwamba Mmiliki wa na mkurugenzi wa Sweet Fm&Sweet Tv Joseph Mbuza Amefariki Dunia Jana usiku.Taarifa na Mipango ya Mazishi tutawajulisha.Mungu aipumzishe roho ya marehemu Mahala Pema Peponi Amin.

No comments:

Post a Comment