Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Thursday, July 31, 2014

WATU WANNE WAMEFARIKI PAPO HAPO BAADA YA KUDONDOKEWA NA KUFUNIKWA NA LORI LA MIZIGO

 Lori hilo la mizigo likiwa limedondoka Chini ya Mto njia panda ya Ilembula huku  watu wanne wakiwa wamefunikwa.
Watu wanne wamefariki papo hapo Saa kumi usiku leo baada ya kudondokewa na Lori la mizigo , Lililopindukia katika mto njia panda ya kuelekea Ilembula, kutokana na kufunikwa na Lori hilo watu hao wameendelea kuwa chini ya Lori hilo na Kazi ya kuwatoa inaendelea kufanyika sasa.

 Baadhi ya watu wakiwa wanashuhudia tukio la ajali huku wengine wakijipanga jinsi ya kuwaokoa walifunikwa na kifusi.
 Baadhi ya mizigo ikiwa imedondoka katika mto

 
 Hivi ndivyo Lori linavyo onekana likiwa limedondoka chini ya mto eneo la njiapanda Ilembula
 Mashuhuda wakiwa wanaongezeka kufika katika eneo la Tukio

 Kazi ya uokoaji ikiwa imeanza 
 Lori la mizigo likiwa limedondoka
 Picha zote na Njombe yetu Blog

No comments:

Post a Comment