Mansoor himid,aliyewahi kuwa mwakilishi na wakati flani waziri asiyekua na
wizara maalum na pia ni shemeji wa rais karume,
Akutwa na silaha hizi
[image: Default] Karume amtembelea Mansour kituo cha Polisi
Aliyewahi kuwa Waziri wa SMZ, Mansour Yusuph Himid ambaye alikamatwa na
silaha mbili za moto na risasi 412, nyumbani kwake Chukwani hivi karibuni.
Zanzibar. Rais mstaafu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), Amani Abeid
Karume jana alifika Kituo cha Polisi Madema kumjulia hali shemeji yake,
aliyewahi kuwa Waziri wa SMZ, Mansour Yusuph Himid ambaye alikamatwa na
silaha
MIAKA 18 BAADAYE: JK AKUTANA TENA NA CATHERINE, BINTI ALIYEFANYIWA UPASUAJI
WA MOYO AKIWA NA MIAKA MINNE
-
RAIS mstaafu wa Awamu ya Nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, leo Mei 29, 2026
amekutana tena na Bi. Catherine P. Conrad Minja, aliyefanyiwa upasuaji wa
moy...
1 day ago




No comments:
Post a Comment