Ommy Dimpoz akishuka kwenye kwenye ndege mara baaada ya kuwasili ndege hiyo Mjini Bukoba tayari kwa makamuzi katika mwendelezo wa Msimu wa Dhahabu na Serengeti Fiesta, Tamasha linalotarajiwa kufanyika kesho siku ya Ijumaa katika uwanja wa Kaitaba mjini Bukoba.
Chistian Bella akishuka kutoka kwenye ndege mara baada ya kutua uwanjani hapo .
Dj Ziro(mwenye t-shirt nyeupe) langoni mwa ndege akiwa na mwanadada mtangazaji wa Clouds Tv Shadee (mbele)
Msanii wa muziki wa kizazi kipya Jux akiwasili .
Ney wa Mitego.
Barnaba.
Wakibadilishana mawazo kwenye chumba cha mapumziko mara baada ya kushuka kwenye ndege.

No comments:
Post a Comment