Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Friday, August 15, 2014

TUNAOMBA RADHI KWA PICHA::MWILI WA ALBINO WAKUTWA UMETUPWA MAENEO YA KINYEREZI.PICHA 8 ZA TUKIO ZIKO HAPA



Inasadikiwa mtu huyu amekuja kutupwa eneo hili kutoka eneo jingine ambalo halijajulikana bado.Mwili huu umekutwa eneo hili  la segerea kinyelezi jiji Dar es salaam na watoto ambao walikuwa wakikata miwa huku ukiwa umeharibika na umekatwa shingo na kung'olewa macho yote mawili  na mpaka sasa hajafamika tayari police wamechukua mwili huo kwa uchunguzi
  






















No comments:

Post a Comment