Wolper aliandika ‘Tukio lililoniuma ni kutohudhuria katika
furaha ya milele ya my dada kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wangu‘
ambapo baada ya post hiyo baadhi ya followers wa Wolper walianza kutukana
kwenye comments na kukosoa mavazi ya Maharusi kama unavyoona hapa chini.
MBUNGE JAFO: MIAKA MITANO IJAYO NI YA MCHAKAMCHAKA WA MAENDELEO KISARAWE
-
*Mbunge wa Jimbo la Kisarawe, Dkt. Selemani Jafo, akizungumza na Madiwani
wa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe alipokutana nao kwa ajili ya
kuzungumzi...
30 minutes ago



No comments:
Post a Comment