Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Saturday, September 20, 2014

Kilichomfanya Jacqueline Wolper aifute hii picha ya Lucy Komba instagram

 September 17 2014 mwigizaji Jackline Wolper aliweka kwenye page yake ya Instagram picha ya mwigizaji mwenzake Lucy Komba alieolewa hivi karibuni na raia kutoka nje ya Tanzania na kuandika masikitiko yake ya kushindwa kuhudhuria harusi hii.
Wolper aliandika ‘Tukio lililoniuma ni kutohudhuria katika furaha ya milele ya my dada kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wangu‘ ambapo baada ya post hiyo baadhi ya followers wa Wolper walianza kutukana kwenye comments na kukosoa mavazi ya Maharusi kama unavyoona hapa chini.

No comments:

Post a Comment