Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Monday, October 20, 2014

BREAKING NEWSS::POLISI WAMUUWA MLIPUAJI WA MABOMU ARUSHA


Jeshi la polisi mkoani arusha limemuua kwa kumpiga risasi mtuhumiwa namba moja wa milipuko ya mabomu katika mikusanyiko na kuwamwagia viongozi wa dini tindikali baada ya kujaribu kutoroka akiwa chini ya ulinzi akiwa njiani kwenda kuonyesha bomu alilokuwa amelificha maeneo ya kondoa mkoani dodoma .


Taarifa iliyonifikia hivi punde kupitia Radio One Breaking News inahusu kuuawa kwa mtuhumiwa namba moja wa kesi ya ulipuaji mabomu jijini Arusha, Yahaya Hassan Omar kwa kupigwa risasi na askari wa jeshi la polisi wakati alipojaribu kutoroka akiwa chini ya ulinzi.

No comments:

Post a Comment