Jeshi la polisi mkoani arusha limemuua kwa kumpiga risasi mtuhumiwa namba moja wa milipuko ya mabomu katika mikusanyiko na kuwamwagia viongozi wa dini tindikali baada ya kujaribu kutoroka akiwa chini ya ulinzi akiwa njiani kwenda kuonyesha bomu alilokuwa amelificha maeneo ya kondoa mkoani dodoma .
Uandaaji Utekelezaji wa Miongozo ya Ufuatiliaji na Tathmini Serikalini
Kuongeza kasi ya Ukamilishaji wa Miradi ya Mendeleo Nchini
-
Na Mwandishi wetu Iringa
Imeelezwa kuwa zoezi la uandaaji Utekelezaji wa Miongozo ya Ufuatiliaji na
Tathmini Serikalini Kunachangia kuongeza kasi ya Ukami...
17 minutes ago


No comments:
Post a Comment