Jeshi la polisi mkoani arusha limemuua kwa kumpiga risasi mtuhumiwa namba moja wa milipuko ya mabomu katika mikusanyiko na kuwamwagia viongozi wa dini tindikali baada ya kujaribu kutoroka akiwa chini ya ulinzi akiwa njiani kwenda kuonyesha bomu alilokuwa amelificha maeneo ya kondoa mkoani dodoma .
Airtel, Huawei waimarisha ushirikiano kukuza mageuzi ya kidijitali Tanzania
-
KAMPUNI ya mawasiliano ya simu ya Airtel Tanzania na kampuni ya teknolojia
ya Huawei zimethibitisha upya dhamira yao ya kuendelea kuimarisha huduma za
maw...
1 day ago


No comments:
Post a Comment