Jeshi la polisi mkoani arusha limemuua kwa kumpiga risasi mtuhumiwa namba moja wa milipuko ya mabomu katika mikusanyiko na kuwamwagia viongozi wa dini tindikali baada ya kujaribu kutoroka akiwa chini ya ulinzi akiwa njiani kwenda kuonyesha bomu alilokuwa amelificha maeneo ya kondoa mkoani dodoma .
NAIBU WAZIRI AIPONGEZA TASAC KWA KUBORESHA HUDUMA ZA USAFIRI MAJINI
-
Naibu Waziri wa Uchukuzi, Mhe. David Kihenzile, amelipongeza Shirika la
Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) kwa jitihada zake za kuendelea kuboresha
sekta y...
1 hour ago


No comments:
Post a Comment