Jeshi la polisi mkoani arusha limemuua kwa kumpiga risasi mtuhumiwa namba moja wa milipuko ya mabomu katika mikusanyiko na kuwamwagia viongozi wa dini tindikali baada ya kujaribu kutoroka akiwa chini ya ulinzi akiwa njiani kwenda kuonyesha bomu alilokuwa amelificha maeneo ya kondoa mkoani dodoma .
Biashara : EAC Kuendelea kuimarisha Mfumo wa Kurahisisha Biashara za
Mipakani
-
Na Oscar Assenga,MKINGA
JUMUIYA ya Afrika Mashariki (EAC) imeeleza itaendelea kuimarisha
utekelezaji wa Mfumo Rahisi wa Biashara (Simplified Trade Regim...
2 hours ago


No comments:
Post a Comment