Jeshi la polisi mkoani arusha limemuua kwa kumpiga risasi mtuhumiwa namba moja wa milipuko ya mabomu katika mikusanyiko na kuwamwagia viongozi wa dini tindikali baada ya kujaribu kutoroka akiwa chini ya ulinzi akiwa njiani kwenda kuonyesha bomu alilokuwa amelificha maeneo ya kondoa mkoani dodoma .
MIGODI MIKUBWA NCHINI IMETAKIWA KUWEZESHA WACHIMBAJI WADOGO
-
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Ajira na Mahusiano), Deus
Sangu, akiwasilisha hotuba yake mbele ya wajumbe wa Kamati ya Ulinzi na
Usalama na M...
1 hour ago


No comments:
Post a Comment