Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Mbunge wa Kawe Mhe
Halima Mdee baada ya ufunguzi rasmi wa
barabara ya Mwenge-Tegeta katika
eneo la Lugalo njiapanda ya Kawe jijini Dar es salaam. Ujenzi na upanuzi wa
barabara ya Mwenge-Tegeta Km 12.9, ni sehemu ya mkakati wa Serikali ya Tanzania
wa kupunguza msongamano wa magari katika jiji la Dar es Salaam. PICHA NA IKULU
WAZIRI MKENDA AWATAKA WATHIBITI UBORA KURIPOTI CHANGAMOTO ZA SHULE
-
NA EMMANUEL MBATILO, BAGAMOYO
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Adolf Mkenda, amewataka Wathibiti
Ubora wa Shule kuhakikisha wanatoa taarifa kwa wak...
11 hours ago


No comments:
Post a Comment