Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Mbunge wa Kawe Mhe
Halima Mdee baada ya ufunguzi rasmi wa
barabara ya Mwenge-Tegeta katika
eneo la Lugalo njiapanda ya Kawe jijini Dar es salaam. Ujenzi na upanuzi wa
barabara ya Mwenge-Tegeta Km 12.9, ni sehemu ya mkakati wa Serikali ya Tanzania
wa kupunguza msongamano wa magari katika jiji la Dar es Salaam. PICHA NA IKULU
MBUNGE LIWAKA AWAHAKIKISHIA MAMALISHE KUTATULIWA CHANGAMOTO ZA MAJI, MASOKO
NA MIKOPO
-
Mbunge wa Jimbo la Nachingwea, Fadhili Liwaka,akisonga ugali kwenye moja ya
masoko ambayo mama nitilie wanaojihusisha na uuzaji wa vyakula.
Mbunge wa Jimbo...
2 hours ago


No comments:
Post a Comment