Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Mbunge wa Kawe Mhe
Halima Mdee baada ya ufunguzi rasmi wa
barabara ya Mwenge-Tegeta katika
eneo la Lugalo njiapanda ya Kawe jijini Dar es salaam. Ujenzi na upanuzi wa
barabara ya Mwenge-Tegeta Km 12.9, ni sehemu ya mkakati wa Serikali ya Tanzania
wa kupunguza msongamano wa magari katika jiji la Dar es Salaam. PICHA NA IKULU
ULEGA ZIARANI KUKAGUA MIUNDOMBINU ILIYOATHIRIWA NA MAFURIKO MKURANGA
-
Mbunge wa Jimbo la Mkuranga ambaye pia ni Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe.
Abdallah Ulega leo Aprili 27, 2024 ametembelea maeneo yalioathiriwa na
mafuriko...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment