Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Mbunge wa Kawe Mhe
Halima Mdee baada ya ufunguzi rasmi wa
barabara ya Mwenge-Tegeta katika
eneo la Lugalo njiapanda ya Kawe jijini Dar es salaam. Ujenzi na upanuzi wa
barabara ya Mwenge-Tegeta Km 12.9, ni sehemu ya mkakati wa Serikali ya Tanzania
wa kupunguza msongamano wa magari katika jiji la Dar es Salaam. PICHA NA IKULU
TUZO ZA MAKAMPUNI BORA 100 ZA CHAPA AFRIKA ZATAJWA KUCHOCHEA MAENDELEO
SEKTA BINAFSI.
-
Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Dennis Londo, amesema
wazalishaji, wafanyabiashara na watoa huduma nchini ni nguzo muhimu katika
maendeleo ya uch...
14 hours ago


No comments:
Post a Comment