Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Monday, November 10, 2014

TANGAZO LA MSIBA WA NDUG.ROBERT VICTOR LENGEJU‏



Familia ya Lengeju wa Kipera Mkoani Morogoro wanasikitika kutanga kifo cha mdogo wao ROBERT VICTOR LENGEJU kilichotokea mchana wa leo katika Hospitali ya TMJ Dar es Salaam.

Mipango ya mazishi inafanyika Nyumbani kwa kaka yake Charles Lengeju, Njia panda Airport jijini Dar es Salaam.




Habari ziwafikie ndugu, jamaa na marafiki wote wa familia ya Lengeju na wakazi wa Kipera mkoani Morogoro. 

BWANA ALITOA NA BWANA AMETWAA JINA LAKE LIHIMIDIWE.

No comments:

Post a Comment