Lori la mafuta limekata tela lenye namba za usajili T 172ABT na kupibnduka jioni Ya jana katika makutano ya barabara za Nyerere na Mandela jijini Dar es Saam kwa kile kilichoelezwa na baadhi ya mashuhuda kuwa ni mwendo kasi aliyokuwa nao dereva wa lori hilo aliyekuwa akikata kona akitokea mjini Barabara ya Nyerere kwenda barabara ya Kawawa.
Mtanzania Ang’ara Korea Kusini — Geay Atetea Taji la Daegu Marathon
-
*Na Mwandishi Wetu.*
*Mwanariadha nyota wa Tanzania, Gabriel Geay, ameshinda mbio za Daegu
Marathon za mwaka 2026 kwa muda wa saa 2:08:09, akifanikiwa kut...
31 minutes ago






No comments:
Post a Comment