MKUU wa Polisi Wilaya ya Mjini, Ali Makame (wa pili kushoto) akiangalia gari iliyovunjwa na kuibiwa pesa zinazosadikiwa kuwa ni euro elfu moja na shilingi za kitanzania milioni tano, muda mfupi baada ya kufika eneo la tukio katika eneo la Mlandege mjini Zanzibar.ASKARI Polisi wakiwa wameizunguka gari iliyovunjwa na kuibiwa pesa zinazosadikiwa kuwa ni euro elfu moja na shilingi za kitanzania milioni tano, tukio hilo limetokea majira ya saa saba mchana katika eneo la Mlandege mjini Zanzibar leo. Mmiliki wa gari hiyo aliegesha gari yake na kuingia msikitini kwa kusali sala ya Ijumaa katika msikiti jirani na maengesho ya gari katika eneo la mlandege. (Picha na Haroub Hussein).
Sakata la Mwigizaji Maarufu nchini na familia ya Baba wa Taifa Mwalimu
Nyerere lachukua sura mpya
-
SAKATA LA MWIGIZAJI MAARUFU NCHINI Steve Nyerere na familia ya Baba wa
Taifa Mwalimu Nyerere lachukua sura mpya baada ya wazee wa kanda ya ziwa
kuingilia...
10 hours ago
No comments:
Post a Comment