Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Wednesday, December 31, 2014

GARI LATEKETEA KWA MOTO MAKUMBUSHO DAR

Gari dogo aina ya Toyota Mark ii lenye namba za usajili T 601 AHG, likiteketea kwa moto eneo la Makumbusho Usalama kama lilivyonaswa na kamera ya Sufianimafoto jana jioni. Chanzo cha ajali hiyo hakikuweza kufahamika mapema.
Gari hilo likiendelea kuteketea kw moto.
Kama kawaida ya wabongo wasiokuwa wanahabari rasmi wakinasa matukio ili kusambaza katika mitandao.
Foleni ya magari katika eneo hilo kila dereva akijaribu kushangaa huku moto ukizidi kuliteketeza gari dogo aina ya Toyota Mark ii lenye namba za usajili T 601 AHG eneo la Makumbusho


Raia wakishuhudia tukio hilo wakati gari dogo aina ya Toyota Mark ii lenye namba za usajili T 601 AHG, likiteketea kwa moto. Picha kwa hisani ya Sufiani Mafoto.

No comments:

Post a Comment