Ismaaiyl Brinsley, 28, anayo historia ya matatizo ya akili
na ujambazi huko nyuma Muuaji aliwauwa polisi waliokuwa wamekaa ndani ya gari
yao ya polisi na baadae Brinsley kukimbilia kwenye kituo cha Treni na kujipiga
risasi na kufa papo hapo baada ya kuwaona
hana pakutokea baada yakuzingirwa na polisi eneo hilo. Watu waliokua karibu na
tukio walimsikia muuaji akiwaambia "watch what I'm going to do" na
baada ya maneno hayo ndipo alipowaua polisi hao kwa kuwapiga risasi vichwani na
juu mwilini maeneo ya kifuani.
Meya ‘Shetta’ kuja na goli la Meya
-
MEYA wa Jiji la Dar es Salaam Nurdin Bilal ‘Shetta’, amesema milango ya
ofisi yake iko wazi kwa wasanii na wanamichezo kwa jambo lolote
linaliweza ku...
1 hour ago


No comments:
Post a Comment