

Huyo mshitakiwa ni raia wa Sierra Leone na aliletwa Mahakamani kusomewa shitaka linalomkabili. Akaomba apelekwe msalani mara moja. Alipokuwa msalani akamsoma yule askari alokuwa anamsubiria nje na kuona kazubaa ndipo akaruka ukuta na kutoka nje na kuanza kukimbia. Mtuhumiwa alikuwa kavaa 'Jeans' akaivua kuona inamsumbua.
Akakimbia akitaka kutokea katika lango kuu la Mahakama ya Kisutu lakini likafungwa haraka. Ndipo akaamua aende akaruke uzio wa pembeni ambao una vyuma vyenye ncha kali".
Akakimbia akitaka kutokea katika lango kuu la Mahakama ya Kisutu lakini likafungwa haraka. Ndipo akaamua aende akaruke uzio wa pembeni ambao una vyuma vyenye ncha kali".

Wakati huo wote askari walikuwa wanamfukuza kwa nguvu lakini
hawakuweza kupiga risasi kwa sababu alikuwa mjanja sana akawa anakimbia katikati ya watu." "Ndipo alipofika kwenye hiyo fensi akijaribu kuruka askari
akapiga risasi mbili hewani, jamaa hakutii. Ndipo akaiga risasi moja ikampata
mkononi na nyingine mzima kampata shingoni na kufariki papo hapo."
No comments:
Post a Comment