Ni mara chache sana kwa masupastaa kufunguka kuhusu mahusiano yao ya kimapenzi, ni wachache sana ambao wako tayari kuweka mambo wazi kama msanii Young Killer ambaye ana ameweka wazi uhusiano wake na mwanadada Halimaty.‘’Halimaty ni mpenzi wangu nipo naye zaidi ya miaka nane,amekuwa zaidi ya rafiki’’alisema Young Killer kwenye shoo ya After Skul Bash iliyofanyika Jumamosi iliyopita kwenye viwanja vya Escape One,Mikocheni.
MAFIA BOXING PROMOTION WAUNGA MKONO KAMPENI YA RAIS DKT SAMIA MATUMIZI YA
NISHATI SAFI YA KUPIKIA
-
Na Oscar Assenga,TANGA
KAMPUNI ya Mafia Promotion Boxing imetoa msaada wa majiko ya Gesi kwa
wanawake wanaojishughuli na uuzaji wa vyakula katika masoko...
57 minutes ago
No comments:
Post a Comment