Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Friday, January 3, 2014

MAPINDUZI CUP:::SIMBA WAVUTWA SHATI NA KCC KWA SARE TASA



Wekundu wa Msimbazi Simba wameshindwa kuwatambia KCC ya Uganda baada ya kutoshana nguvu kwa kutoka sare ya bila kufungana katika mchezo wa kundi B kuwania Kombe la Mapinduzi uliochezwa uwanja wa Amaan usiku huu.

Kwa ujumla timu zote ziulionekana kucheza kwa umakini mkubwa hasa katika safu za ulinzi ikiwa ni ishara ya kuepuka kupoteza mchezo na kubakiza matumaini ya kufuzu kwa robo fainali. ambapo hadi mapumziko timu zote zilikuwa zimepiga mikwaju miwili tu iliyolenga lango la mpinzani.


TUNAOMBA BOFYA HAPA NA ULIKE PAGE YETU KWA HABARI NYINGI ZA KILA SIKU,(USIPITWEEEEEEEE)
Kipindi cha pili Simba ilionekana kuimarika zaidi hasa baada ya kuingia kwa Said Ndemla kuchukua nafasi ya Amri Kiemba na pia Betram Mwombeki aliyechukua nafasi ya Amissi Tambwe, ambaye alionekana kukosa ujanja wa kuipenya ngome ya waganda kwa kudhibiwa vilivyo. Kwa ujumla Simba walipiga mikwaju mingi zaidi iliyolenga lango kwani walipata mikwaju 6 wakati KCC walipiga mitatu

Simba Nusura waandike bao katika mwa kipindi chapili pale Ndemla alipopiga mkwaju mkali ambao hata hivyo uliokolewa na mlinda lango na ukawa kona butu.

KCC wangeweza kuandika goli la kusawazisha katika dakika za mwisho kabisa za mchezo kamasi uhodari wa mlinda lango Ivo Mapunda kuuucheza mpira uliokuwa ukielekea langoni na kufanya timu zote mbili zifune alama moja na kufikisha alama nne.

KCC iko kilelelni mwa kundi B ikiipiku Simba kwa wingi wa magoli ya kufunga wakati AFC na KMKM zinashika nafasi ya tatau na ya nne kwani zote zina alama moja kila moja. Michezo ya mwisho keshokutwa ndiyo itaamua ni tiu ipi iende robo fainali wakati Simba itakapocheza na KMKM na na KCC wakiikabili AFC Leopards

Kesho Jumamosi kuna michezo mine. Kwenye uwanja wa Gombani Pemba watoza ushuru wa Uganda, URA watapepetana na timu mseto ya Pemba (Clove Stars) kuanzia saa 8 mchana na baadaye saa 10 Mbeya CITY watakipiga na timu ya Chuoni.

Wakati hayo yakiwa Pemba, Unguja kwenye uwanja wa Amaan saa 10 jioni Ashanti United wataonyeshana kazi na timu mseto ya unguja (Spice Stars) na sa 2 usiku mabingwa watetezi Azam watawakabili Tusker ya Kenya.

DUHHH!!!!!!!TAZAMA PICHA JINSI WANACHAMA WA CHADEMA WAKIMPIGA MWANACHAMA MWENZAO ALIYEKUWA AKIPINGA HOJA ZA ZITTO KABWE MAHAKAMANI

Dar es Salaam,Tanzania

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imeahirisha kutoa hukumu ya kesi iliyofunguliwa jana na Mbunge wa Kigoma Kaskazini Zitto Zuberi Kabwe (Chadema), kuhusu ombi la kuitaka Mahakama hiyo kuizuia Kamati Kuu ya Chama hicho, kutomjadili katika kikao ambacho kilipangwa kufanyika leo jijini Dar es Salaam.



TUNAOMBA BOFYA HAPA NA ULIKE PAGE YETU KWA HABARI NYINGI ZA KILA SIKU,(USIPITWEEEEEEEE)




Wanachama wa Chadema, wakitwangana nje ya Mahakama Kuu, jijini Dar es Salaam. 

Jaji John Utumwa alisitisha kutoa hukumu hiyo mpaka siku ya Jumatatu saa 4:00 asubuhi.Hata hiyo baada ya Jaji huyo kuahirisha kesi hiyo, nje ya Mahakama hiyo kulikuwa na vurugu kubwa baada ya kundi linalo unga mkono maamuzi ya Chadema kutwangana na kundi linalo muunga Zitto Kabwe.

 

Mwanachama wa Chadema, anayepinga hoja za Zitto Kabwe, akimtwanga mfuasi wa Zitto Kabwe. 

Hatua hiyo ilisababisha Askari wa Jeshi la Polisi kuingilia kati, huku wakiungana na upande wa Chadema na kuwatwanga marundi wafuasi wa Zitto waliokuwa na mambango kama ilivyokuwa kwa wenzao wa Chadema.

Kesi hiyo ilifunguliwa jana na wakili wa Mbunge huyo Albert Msando huku wakili wa Chadema Tundu Lissu akiweka pingamizi,hata hivyo Jaji John Utumwa wa Mahakama hiyo alitupilia mbali mapingamizi yote yaliyowekwa na Tundu Lissu,

TUNAOMBA RADHI KWA PICHA::MFANYABIASHARA WA KIKE APIGWA RISASI USONI NA KUPORWA MABEGI MAWILI YA HELA KARIAKOO



Mfanyabiashara mmoja (Jina Halikufahamika) Mwenye asili ya Asia ameshambuliwa na majabazi (majira ya saa 12 Kasoro jioni )kwa kupigwa risasi katika paji la uso wake na kisha majambazi hao kutoweka na mabegi mawili yaliyoojaa fedha.
Damu ya Mfanyabiashara huyo ikiwa imetapakaa katika gari lake baada ya kupigwa risasi na majambazi waliompora kiasi kikubwa cha fedha na kutoweka.

Hata hivyo haikujulikana kwa haraka ni kiasi gani cha fedha ambacho kilikuwemo katika mabegi hayo. Wakiongea na mwandishi wetu baadhi ya mashuhuda wa tukio walidai kuwa majambazi hao walikuwa  watatu na mmoja alikuwa na bunduki aina ya SMG. 
Raia wakishangaa mwili wa mfayabiashara huo ukiondolowa na polisi
           Wakielezea tukio hilo baadhi ya wafanyabiashara wengine katika maeneo hayo ya mtaa wa Lindi na Kongo (Kariakoo) walidai kwamba Mfanyabiashara huyo alitoka na kufunga duka lake huku akiwa na mabegi mawili na Mashine ya kutolea Risiti ya EFD na kuelekea katika gari lake dogo aina ya Suzuki Carry na Ghafla walitokea watu wawili waliokuwa katika pikipiki na mmoja wa tatu alikuwa amesimama pembeni kidogo na gari hiyo na kisha kuelekea moja kwa moja katika gari hiyo na kumpiga risasi mfanya biashara huyo aliyekuwa akijiandaa kuondosha gari lake.

         
Mfanya biashara apigwa risasi Kariakoo
Askari wakiliondoa gari la mfanya biashara huyo katika eneo la tukio
''Niliona watu kama wanagombania begi hivi ghafla nikasikia mlio wa risasi  na kisha nikaona pikipiki mbili aina ya boxer zikija kwa kasi kutokea upande wa mtaa wa gerezani na kisha  mlio wa pili wa risasi ulikika tena, nahisi ndio uliokuwa umemlenga yule "muhindi" na baada ya hapo kitendo kama cha dakika mbili hivi wale jamaa wakapokezana lile begi na kisha kupiga risasi nyingine juu basi hapo wote tukaanza kufunga maduka yetu na wale majambazi wakatoweka kirahisiii"
EFD machine ikiwa katika gari la mfanyabiashara aliyepigwa risasi leo jijini Dar es Salaam

Sehemu  ya fremu inayosemekana kuwa ni Duka la
 Mfanyabiashara aliyepigwa Risasi Leo majira ya saa 12 jioni
  Hata hivyo baadhi ya watu wamelaumu utaratibu wa wafanya biashara wengi wa kariakoo kuhifadhi fedha nyingi katika maduka na badala yake wamewataka wafanya biashara hao kutafuta mbinu mbadala itakayowaezesha kuweka fedha na mali zao salama kabisa ikiwa ni pamoja na kutumia huduma za kuhamisha fedha kwa kutumia mitandao, cheque, na hata credit card kuliko Cash kwani imekuwa kawaida kwa mtukio haya kujirudia eleo hili la Kariakoo.

EBWANA EHHH!!!!!TAZAMA PICHA ZA MGAHAWA MAALUMU ULIOFUNGULIWA KWA AJILI YA PAKA NA MBWA,JIONEE MBWA AKIFANYA ODA YA CHAKULA

Mgahawa wa kwanza maalum kwaajili ya mbwa na paka uitwao ‘Pets Deli’ umefunguliwa huko Berlin, Ujerumani.
Pets deli-1
Kati ya vyakula vinavyopatikana katika menu ya mgahawa huo ni pamoja na beef, bata mzinga, cupcakes, wali, viazi bila kusahahu nyama ya Kangaroo.
Pets deli-2
Mgahawa huo uliofunguliwa katika kipindi cha Christmas mwaka jana 2013, vyakula vya wanyama hao vinauzwa kuanzia €3 hadi €6 (6500-13000Tsh).
Pets deli-3
Katika mgahawa huo kuna sehemu imetengwa kwaajili ya wamiliki wa wanyama hao kupata kahawa wakisubiri mbwa na paka wao wapatiwe huduma.
Pets deli-4
Pets deli-5
Mmiliki wa mgahawa huo David Spanier (31) alisema alipata wazo baada ya kugundua rafiki yake hua anashindwa kutumia vyakula vya supermarket kwaajili ya wanyama kutokana na kuwa junk food.
Pets deli-6
Spiner aliongeza kuwa nyama inayoandaliwa ina ubora ambao inaweza hata kuliwa na binadamu bila tatizo.
Pets deli-7


KUTOKA MBEYA:::MAMA AJIFUNGUA MAPACHA WANNE,AOMBA MSAADA KUWEZA KUWATUNZA



Aida Nakawala 25 mkazi wa kijiji cha Chiwanda Wilaya ya Momba Mkoa wa Mbeya, hivi karibuni alijifungua watoto wanne  mapacha kwa mkupuo(Quadliplets) katika usiku wa kuamkia Mwaka mpya anaendelea vizuri.

Mwanamke huyo ambaye kwa hivi sasa anaendelea na matibabu katika Hospitali ya Wazazi ya Meta akiwa na watoto wake wote wanne alijifungua majira ya saa 10 alfajiri usiku wa kuamkia Januari Mosi Mwaka huu katika Hospitali ya Wilaya ya Mbozi na watoto wakiwa na uzito wa kawaida tofauti na matarajio ya Wengi.

Muuguzi na msimamizi wa Watoto katika chumba cha Joto Sista Frolence Maisa amesema hali za watoto ni nzuri ambapo mama mzazi anahitaji kupatiwa vyakula vinavyoweza kumuongezea maziwa mengi kutokana na idadi ya watoto aliyonayo.


kikosi cha blog ya Mbeya yetu  Kikiongozwa na Joseph Mwaisango ambacho kilifika kumjulia hali kiliguswa na hali hiyo na kujitolea kamsaada kidogo wa nguo za watoto sabuni  chupa na dishi  hivyo kuwaomba wadau wengine kumsaidia mama huyo ili aweze kuwalea vizuri watoto wake.

Katibu msaidizi wa hospitali ya  Rufaa Mbeya Mwansasu akipokea msaada huo kwa niaba ya mzazi

KATIKA hali isiyokuwa ya Kawaida Mwanamke mmoja, Aida Nakawala 25 mkazi wa kijiji cha Chiwanda Wilaya ya Momba Mkoa wa Mbeya, hivi karibuni alijifungua watoto wanne  mapacha kwa mkupuo(Quadliplets) katika usiku wa kuamkia Mwaka mpya anaendelea vizuri.
Mwanamke huyo ambaye kwa hivi sasa anaendelea na matibabu katika Hospitali ya Wazazi ya Meta akiwa na watoto wake wote wanne alijifungua majira ya saa 10 alfajiri usiku wa kuamkia Januari Mosi Mwaka huu katika Hospitali ya Wilaya ya Mbozi na watoto wakiwa na uzito wa kawaida tofauti na matarajio ya Wengi.
Kwa mujibu wa Muguuzi wa Hospitali ya Wilaya ya Mbozi aliyemfanyia huduma mwanamke huyo, Grace Konga alisema mzazi huyo ni miongoni mwa wazazi 9 waliojifungua katika Mkesha wa Mwaka mpya huku yeye akivunja rekodi kwa kujifungua watoto wanne kwa njia ya kawaida.
Muuguzi huyo alisema watoto hao walizaliwa wakiwa na uzito uliotofautiana kwa mtoto  wa kwanza hadi wa mwisho kuanzia kilogramu 1.6,1.5,1.5  na  2.0 ambapo baada ya kuona hali hiyo ilibidi kumpa rufaa kwa ajili ya msaada zaidi katika Hospitali ya wazazi ya Meta ambapo wapo katika Chumba cha Joto hadi sasa.
Aidha kwa mujibu wa Muuguzi na msimamizi wa Watoto katika chumba cha Joto Sista Frolence Maisa amesema hali za watoto ni nzuri ambapo mama mzazi anahitaji kupatiwa vyakula vinavyoweza kumuongezea maziwa mengi kutokana na idadi ya watoto aliyonayo.
Alisema kwa hivi sasa watoto wananyonya vizuri amb  po maziwa yakipungua kwa mama itahitajika msaada wa maziwa ya Kopo aina ya Laktojeni ili watoto waendelee kupatiwa maziwa kama kawaida na afya zao kuimarika.
Kwa upande wake Mzazi wa watoto hao Aida Nakawala alisema hali yake kiuchumi siyo nzuri kuweza kumudu kuwalea watoto hao na kuongeza kuwa mume wake ni mkulima aliyemtaja kwa jina la Web Simkanda hivyo anaomba msaada wa hali na mali kutoka kwa wasamaria wema.
Alisema huo ni uzao wake wanne ambapo mtoto wake wa kwanza anaumri wa miaka saba, anayefuata ana miaka miwili na miezi tisa huku mwingine akiwa amefariki dunia mara baada ya kujifungua kabla ya uzao huu unaofanya kuwa na watoto Sita.
Alipoulizwa kuhusu kuwepo kwa hali kama hiyo ya kujifungua watoto zaidi ya mmoja katika familia yao alisema Mama yake mzazi amewahi kujifungua mapacha wawili tu na hakuna mtu mwingine aliyewahi kuzidisha idadi hiyo ya watoto kama yeye.
Hata hivyo kutokana na kuguswa kwa  mahitaji ya binti huyo na wanawe kikosi cha blog ya Mbeya yetu ambacho kilifika kumju ulia hali kiliguswa na hali hiyo na kujitolea kamsaada kadogo hivyo kuwaomba wadau wengine kumsaidia mama huyo ili aweze kuwalea vizuri watoto wake.NA MBEYA YETU

TAZAMA PICHA::CHADEMA WAFANYA KIKAO CHA KAMATI KUU LEO JIJINI DAR


Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe (katikati), akiwa na Katibu Mkuu wa Chama hicho, Dk. Wilbroad Slaa (kushoto) na Makamu Mwenyekiti Zanzibar, Said Issa Mohamed wakati wa Kikao cha Kamati Kuu kilichofanyika jijini Dar es Salaam leo.
Wajumbe wa Kikao cha Kamati Kuu.

MASHINDANO YA MGIMWA CUP 2014 YAANZA KUTIMUA VUMBI JIMBO LA MUFINDI KASKAZINI


Mbunge  wa  jimbo la Mufindi kaskazin Bw Mahmoud Mgimwa akifungua mashindano  hayo
Mbunge  wa  jimbo la Mufindi kaskazin Bw Mahmoud Mgimwa akiwa na  wasomi  wa  vyuo  vikuu kutoka wilaya ya Mufindi 
 Mmoja kati ya  wana  vyuo  kutoka Mufindi  akizungumza na vijana .

TUNAOMBA BOFYA HAPA NA ULIKE PAGE YETU KWA HABARI NYINGI ZA KILA SIKU,(USIPITWEEEEEEEE)

 Mbunge  wa  jimbo la Mufindi kaskazin Bw Mahmoud Mgimwa akikabidhi  vifaa vya  michezo kwa  timu  shiriki 
 






 Mbunge  wa  jimbo la Mufindi kaskazin Bw Mahmoud Mgimwa akionyesha  uwezo  wake  katika soka kabla ya  kuzindua mashindano hayo


 JUMLA  ya   timu  5  za  jimbo la  Mufindi Kaskazin  zajitosa  kuwania  kombe la  Mbunge Mahmoud Mgimwa ( Mgimwa  Cup) katika  tarafa  ya Sadani .
 Timu   hizo  ni  kutoka  kijiji  cha  Ikweha,Ugenza,Ilangamoto, Sinai na Ukeremi ambazo   zote  zimepata  kutambaana  kuondoka na  ubingwa  katika  mashindano  hayo.
 Akifungua  pazia  la mashindano  haya  wakati  wa  hafla ya  kuukaribisha  mwaka mpya  2014  jana  katika  uwanja  wa kijiji cha Ugenza kata ya  Ikweha, Mgimwa  alisema  kuwa  lengo la mashindano hayo ni kuhamasisha  kasi  ya maendeleo kwa  vijana  kupitia  michezo .
Alisema  kuwa mashindano hayo yameanzishwa na kusimamiwa na shirika la Mgimwa foundation pamoja na umoja wawanafunzi walio maliza vyuo vikuu wilayani katika  wilaya ya Mufindi  (MUYOWIRUDE)
Mgimwa alisema nidhamira yake na viongozi anaoshirikiana nao kuhakikisha vijana katika jimbo lake wananufaika kwa kupitia michezo kasi  ya  maendeleo kwa  jimbo hilo kupitia  vijana  inazidi  kukua  zaidi
Mbunge   huyo  alisema zawadi mshindi wa kwanza atapata jumla ya Track suti 16 zenye thamani ya shiringi 480,000/=pamoja na mipira miwili yenye thamani ya shilingi 150,000 na  kufanya  zawadi  zote  kuwa na  jumla  ya Tshs. 630,000
 Huku mshindi  wa  pili atazawadiwa seti ya Jezi yenye thamani ya shilingi 250,000/=pamoja na mipira miwili ya Shilingi 150,000 na  kufanya zawadi zote kufikisha  kiasi cha  Shilingi 400,000 wakati mshindi wa tatu atapata mipira miwili yenye thamani ya shilingi 150,000
 Kabla ya  mashindano  hayo mbunge  huyo alikabidhi  seti ya Jezi  kwa  kila timu pamo na mpira mmoja wa mazoezi.
Pia alikabidhi mipira miwili kwa waamuzi wa mashindanohayo kwa ajili ya kushindania sambamba na hilo pia Mgimwa alisema atatoa zawadi mbali mbali kama .
  Kwa mfungaji wa goli la kwanza katika mashindano hayo atapata shilingi 20,000 mchezaji mwenye nidhamu atapata shilingi 30,000 na  timu yenye nidhamu itapata shilingi 50,000 huku mchezaji bora atapata shilingi 50,000
Hivyo  aliwataka  vijana kwa kupitia mashindano hayo kuhakikisha wana  wasikiliza vema  watakapo kuwa wakipatiwa mafunzo ya stadi za maisha kwakupitia wawezeshaji toka shirika la (MUYOWIRUDE).
Ambao wataenda sambamba na michezo hiyo kwani watapa kujifunza bure elimu  mbali  mbali .
Kiongozi wa  wanafunzi hao Marko Shayo alisema wao watatoa elimu yanamna yakujikinga na maambukizi ya Ukimwi,Elimu ya Ujasiriamali kwa kutumia zilizopo  katika jimbo  lao.CHANZO FRANSIS GODWIN

PICHA YANGA YAANZA KUJIFUA CHINI YA MKWASA

 

Mkwasa (mwenye rangi za Bluu) akiongoza mazoezi leo asubuhi katika uwanja wa Bora Mabatini Kjitonyama
Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara timu ya Young Africans leo imeeanza kujifua katika viwanja vya bora Mabatini Kijitonyama kujiandaa na mzunguko wa pili wa Ligi Kuu na mashindano ya kimataifa chini ya kocha msaidizi Charles Boniface Mkwasa.
Young Africans ilisimama kufanya mazoezi kwa siku takribani tatu kufuatia kufanya mabadiliko ya benchi la Ufundi na leo rasmi imeanza mazoezi asubuhi chini ya makocha wasaidzi Mkwasa na kocha wa makipa Juma Pondamali.
Mkwasa alitumia muda wa dakika 5 kuongea na wachezaji wote waliofika mazoezini siku ya leo, kuwaelekeza nini wanapaswa kufanya na kuzingatia mafunzo yake ambapo wachezaji waliweze kutekeleza kwa kiwango cha hali ya juu.
Kocha wa makipa Juma Pondamali aliwafua vilivyo magolikipa Juma Kaseja, Ally Mustafa "Barthez" na Deogratias Munish "Dida" na kusema huu ni mwanzo tu kwani anaamini wachezaji hao watakua katika kiwango kizuri kutokana na uwezo wanaouonyesha katika mazoezi anayaowapatia.
Kikosi cha Young Africans kesho kitaendelea na mazoezi asubuhi katika uwanja wa Mabatini Kijitonyama ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya mzunguko wa pili na mashindano ya kimataifa.
Aidha washambuliaji Hamis Kiiza na Emmanuel Okwi waliokwenda kwao nchini Uganda kwa ajili ya matatizo ya kifamilia wanatarajiwa kurejea nchini mwishoni mwa wiki tayari kuungana na wenzao kujiandaa na mzunguko wa pili.

NEW HIT SONG::kenny izzy -Ninja DOWNLOAD NA SIKILIZA HAPA

HOT NEWSS::WATU WAWILI WAMEFARIKI DUNIA BAADA YA KUANGUKIWA NA KIFUSI CHA UDONGO KWENYE MACHIMBO YA TERATI ARUSHA



Mtu mmoja amefariki dunia na wengine kujeruhiwa vibaya,baada ya kufunikwa na udongo katika mgodi wa machimbo ya kokoto ya Terati jijini Arusha walipokuwa wanafanya kazi ya kuchimba kokoto.Serikali ya kata ya Terati yasema machimbo hayo yanaendeshwa kinyume na taratibu.


TUNAOMBA BOFYA HAPA NA ULIKE PAGE YETU KWA HABARI NYINGI ZA KILA SIKU,(USIPITWEEEEEEEE)

TAZAMA PICHA ZAIDI YA 30 JINSI MAFURIKO YALIVYOLETA HASARA NA KUHARIBU MALI KWENYE MIJI ZAIDI YA 13 NCHINI UINGEREZA


Huge tidal surges and monster waves towering to 30ft have battered the south-west and Wales, flooding huge areas, smashing roads and causing transport chaos.
But experts say more torrential rain, gale-force winds and the highest tide expected in all of 2014 means worse is to come tonight with this evening’s high tides.
There are currently 21 severe flood warnings in place - the highest level - because the Environment Agency says there is a threat to life and property, with people being warned to stay away from the coast.
Areas are already under water but South Wales and North Devon are set to be worst hit tonight with 10.4m high tides hitting Porthcawl and 9.7m hitting Ilfracombe at around 7.30pm.
And as the low pressure hits Britain tonight wave forecasters have warned 40 to 50ft swells could hit Ireland and the south-west of England and Wales - this combined with the high tides could be disastrous for coastal towns and villages.



TUNAOMBA BOFYA HAPA NA ULIKE PAGE YETU KWA HABARI NYINGI ZA KILA SIKU,(USIPITWEEEEEEEE)


Ripped up: The road in Amroth, West Wales has disintegrated because of the force of the sea today driven by high tides and strong winds
Ripped up: The road in Amroth, West Wales has disintegrated because of the force of the sea today driven by high tides and strong winds
'Threat to life': High seas batter the Cobb at Lyme Regis today as thousands have been urged to pack their bags or even evacuate because of the severe flooding threat
'Threat to life': High seas batter the Cobb at Lyme Regis today as thousands have been urged to pack their bags or even evacuate because of the severe flooding threat

Battering: A wave breaks over the seafront at dawn in West Bay during stormy weather as 21 of the highest storm and flood warnings have been issued
Battering: A wave breaks over the seafront at dawn in West Bay during stormy weather as 21 of the highest storm and flood warnings have been issued








Under water: The small town of Salcombe in south Devon was under water this morning as the high tide breached the sea defences there and flooded its narrow streets
Under water: The small town of Salcombe in south Devon was under water this morning as the high tide breached the sea defences there and flooded its narrow streets
Picture of Britain: After more than a month of terrible weather, large swathes of the country face serious flood threats with the majority in central and western England today
Picture of Britain: After more than a month of terrible weather, large swathes of the country face serious flood threats with the majority in central and western England today 
The high tides, or spring tides as they are known, are not unusual but the high waters combined with the massive storm swells mean coastal Britain is struggling to weather the storm.
Ed Temperley, editor of wave and surf forecasting website MagicSeaweed.com, said: 'These high spring tides will occur twice a day in the South West with the morning tide being slightly larger than the evening.
'The tidal range is by annual standards no means unusual. It is the combination of wind and swell effectively layering water atop the the full tide - commonly known as a storm surge -  which is causing many of these flooding issues in coastal areas.
'We are expecting a second significant system, currently forecasting even larger swell for Monday next week, in excess of 50ft'.
 

Waves of 30ft have been consistently hitting the coast since the pre-Christmas storms. The waves are pushed in from the South Atlantic and crash straight into the West Country off the Atlantic Ocean.
The atrocious weather follows four drownings, widespread power cuts and severe flooding that wrecked Christmas for tens of thousands of families and the Government's COBRA committee - only held at times of national emergency - will meet this morning to discuss how to react.
Residents of low-lying areas have been warned to pack their bags because the violent Atlantic storm is expected to overwhelm large parts of the nation’s battered flood defences, with similar sized tides also expected this evening.
Homes in Newport, South Wales, were evacuated this morning as the region faces its highest tide for 17 years.  
High waves hit Penzance at just before 6am, and spread along the coasts of southern England, Wales and the north-west, reaching there at just after midday.

Transport chaos: A train passes through the coast at Saltcoats in Scotland, as Britain is braced for the worst as a combination of high tides, heavy rains and strong winds are expected to bring yet more severe flooding to parts of the country in the nest 24 hours
Transport chaos: A train passes through the coast at Saltcoats in Scotland, as Britain is braced for the worst as a combination of high tides, heavy rains and strong winds are expected to bring yet more severe flooding to parts of the country in the nest 24 hours

Trying to dodge the water: Oscar Francis, left, and his brother Toby Francis being hit by waves on  Clevedon seafront in North Somerset
Trying to dodge the water: Oscar Francis, left, and his brother Toby Francis being hit by waves on Clevedon seafront in North Somerset
Raw power: Huge waves explode over the sea wall and light house at Porthcawl, which could be even harder hit this evening
Raw power: Huge waves explode over the sea wall and light house at Porthcawl, which could be even harder hit this evening
Picture of Britain: After more than a month of terrible weather, large swathes of the country face serious flood threats with the majority in central and western England


Miserable conditions: After a month of very poor weather over the next three days Britain will suffer more torrential rain whipped in by strong winds
Miserable conditions: After a month of very poor weather over the next three days Britain will suffer more torrential rain whipped in by strong winds
Environment Secretary Owen Paterson sounded the alarm and said: 'The Environment Agency and local authorities have teams on the ground monitoring the situation as it emerges.
'Due to the continuing extreme weather, I will be chairing another Cobra meeting today to ensure that everything that can be done to help affected areas is being done.
'With a number of severe flood warnings still in place I urge everyone to follow the advice from the Environment Agency and police and to take every precaution.'
Danger zones: The tidal surge hit at the most westerly point of Cornwall at around 5.42am, but experts say the danger of floods will continue for up to four hours after each high tide, with the problems set to escalate tonight
Danger zones: The tidal surge hit at the most westerly point of Cornwall at around 5.42am, but experts say the danger of floods will continue for up to four hours after each high tide, with the problems set to escalate tonight
And Prime Minister David Cameron said last night: 'We are looking to have a combination of exceptional rain, wind and a surge in sea and high tides and so there are nearly 50 warnings put out around the whole of the west coast and south coast.
'We had a range of ministers from right across government attending the meeting, who will be working very closely with local councils, power companies, utility and transport companies, making sure that all of those organisations are absolutely prepared for the bad weather that is coming.'
Areas especially at risk include the Devon and Cornwall coastline, Dorset, the Welsh coast and the Isles of Scilly, the Environment Agency said.
The Envornment Agency has issued 21 severe flood warnings for the Midlands and western areas, warning residents of danger to life. Some 437 less severe alerts were issued for other parts of the country as forecasters warned of winds of up to 60mph and days of rain.
Natural Resources Wales, the Welsh counterpart of the Environment Agency, said the tidal surge would be the highest to hit the coast since 1997.

An area of low pressure is expected to ‘suck’ up and raise the surface of the sea, which will then be blown by strong winds into the coastline.
The Thames Barrier was closed to protect London and police forces were poised to evacuate hundreds of homes.
In Scotland forecasters have warned of potential coastal flooding as more rain and high winds are set to hit the country. Heavy rain and gusts of up to 60mph could sweep across the country today, bringing further disruption after days of wet weather.
High tides and a storm surge have increased the risk of flooding in the Firth of Clyde, according to the Scottish Environment Protection Agency (Sepa).
A tidal surge is expected around lunchtime, particularly around the Firth of Clyde, Solway Firth and Ayrshire, the Scottish Government said.
Sepa has issued a flood alert for west central Scotland, warning that high water during early afternoon will be 'exceptionally high' with large waves likely.
It has also issued eight flood alerts and 17 flood warnings for other parts of Scotland.
The Met Office has issued yellow 'be aware' warnings of heavy rains and strong winds for the Highlands and Western Isles, Strathclyde, Central, Tayside, Fife, south west Scotland and Lothian and Borders.
And in Northern Ireland, residents of East Belfast were told to pack their bags in anticipation of evacuations as high water and heavy rain is predicted for midday today, Saturday and Sunday.
In the South East, Yalding in Kent was deluged again overnight but not on the same scale as over Christmas, according to local reports. 

Britain from space: NASA satellites show the large storm system causing floods and high winds and tides in many western areas of the British Isles today
Britain from space: NASA satellites show the large storm system causing floods and high winds and tides in many western areas of the British Isles today

Swell surge: This map shows how at midday on Friday high waves on a high tide are crashing into the UK
Swell at 9pm when many areas will be having their second high tide
Swell surge: This map shows how at midday on Friday, left, large waves on a high tide are crashing into the UK, and then the swell at 9pm when many areas will be having their second high tide, right. Below right, there is a moving image showing the flow of waves, with the higher coloured grey and pink - meaning they are around 45ft high

The Little Venice caravan park was flooded again and around six nearby properties affected.
 
Jenny Donovan, from the Environment Agency, told BBC Radio Kent: 'Unfortunately there was flooding again in Yalding last night from the River Beult.
'We had people from the Environment Agency working closely with professional partners, the local authorities and the emergency services.
'It's going to be important for the next 24 to 48 hours that people remain vigilant. If we see the high ends of the rain that is forecast over the next 24 to 48 hours, we will see an increase in flood risk across the whole of the county.'
In the South East, 20 flood warnings and 90 flood alerts were in place at 8am. There were no severe flood warnings.
Sussex Police have warned of problems as more rain falls, adding to already swollen rivers.
Winds of up to 65mph along the coast, combined with high tides and low pressure, were likely to create storm surges, the force said.
The port of Dover in Kent was operating normally.
High risk areas include the densely-packed residential streets of Sydenham and Victoria Park in the east of the capital and around the docks.
Police Service of Northern Ireland (PSNI) Assistant Chief Constable Stephen Martin said: 'We are particularly concerned around a number of areas, those areas are Victoria Park in Belfast, the Sydenham area of Belfast and around the docks area of Belfast.
'We are working as much as we can to try and prepare ourselves for potential flooding in those areas so during the course of today we have distributed many thousands of sand bags.'


The latest storm has heaped more midwinter misery on travellers today with road journeys and rail services disrupted.
Many major roads were flooded, while trains to and from Gatwick Airport in West Sussex were among those affected by storm-related problems.

Battered and broken: The stretch of sea wall  below the Fistral Blu bar in Newquay has collapsed as it was deluged with water
Battered and broken: The stretch of sea wall below the Fistral Blu bar in Newquay has collapsed as it was deluged with water

Torn up: A council worker repairs damaged railings along the seafront following high tide at Amroth in west Wales
Torn up: A council worker repairs damaged railings along the seafront following high tide at Amroth in west Wales

Problems: The West Wales coast is being badly battered and this Amroth road is closed after it was showered with stones  dragged up by the storm
Problems: The West Wales coast is being badly battered and this Amroth road is closed after it was showered with stones dragged up by the storm


Trying to cope: A holiday cottage takes the full force of the giant seas after windows were smashed and the ground floor was swamped, washing furniture out to sea at Lee near Ilfracombe, North Devon
Trying to cope: A holiday cottage takes the full force of the giant seas after windows were smashed and the ground floor was swamped, washing furniture out to sea at Lee near Ilfracombe, North Devon

Patrol: A special constable walks through the high tide flood water that still remains on the seafront at Lynmouth in North Devon
Patrol: A special constable walks through the high tide flood water that still remains on the seafront at Lynmouth in North Devon

Protection: Sandbags are placed in front of a property on the seafront at Lynmouth because of the severe floods this morning and tonight
Protection: Sandbags are placed in front of a property on the seafront at Lynmouth because of the severe floods this morning and tonight


STORM SHOWERS SOUTH-WEST WITH SPROUT-SIZED HAILSTONES

Hailstones the size of sprouts
Hailstones as big as sprouts caused skidpan chaos on the M5 in Devon and Somerset this morning with dozens of cars, lorries and motorbikes caught up in a series of smashes.
Luckily, drivers had slowed to a crawl because the hail reduced visibility to a few yards and rescue services reported there were only bumps bruises and shock.
A spokesman for the ambulance service said 'Following the hail storm just south of Cullompton there were cars skidding all over the motorway, both northbound and southbound.'
Emergency services raced to the scene of the chaos and collisions, which happened between junction 28 and 29.
The Highways Agency said the smashes had caused a big build-up of traffic in both directions and conditions have been made worse by huge 'lakes' of standing water on the motorway.
Meanwhile the region continues to be lashed by heavy rain and thunder.
Some roads in Gloucestershire are now under flood waters, police said.
A spokeswoman for Gloucestershire Police said: 'The Severn Bore has now gone through Elmore and Minsterworth with reports that the water has overtopped the defences in some parts.
'The tidal surge will follow and is due to reach Gloucester around 11am today. All agencies are asking people to stay away from the water.'
The A48 is closed between Oakle Street and Elton Corner, while Northway Lane is Tewkesbury is 'impassable' due to flooding, she added.
There are reports that Goose Lane is Rodley is also impassable.
Gloucestershire Highways area manager Jason Humm said: 'We've had a fair amount of rainfall on saturated ground so there has been some surface water on the highways and we would urge drivers to continue to take extra care travelling around the county.
'We've had additional gangs on overnight and into this morning and the workforce will prioritise any flooding issues that may arise.
'Rising river levels have caused some issues with roads locally and we are anticipating further issues at the A417 in Maisemore.
'Gangs are fully prepared to react immediately if needed and we would encourage people to use alternative routes.'

Rest centres for concerned residents have been opened in Tewkesbury and the Forest of Dean.
Southern and south west England, Wales and Scotland bore the brunt of the adverse weather, while travellers whose services were running normally had to contend with wind and rain on the way to work.
Electrical supply problems at South Croydon in south London meant delays of up to 40 minutes on trains between Gatwick Airport and East Croydon, while a signalling problem at Dorking in Surrey led to hold-ups between Dorking and Leatherhead.
Pre-Christmas flooding has meant that no trains are able to run on the Isle of Wight, with services not expected to start again until well into January.
Earlier problems have also led to buses replacing trains between Petersfield in Hampshire and Haslemere in Surrey, with rail services not expected to resume until Sunday.
The bad weather meant there were also no trains today between Guildford in Surrey and Ascot in Berkshire, while flooding meant services were unable to operate between Paignton and Newton Abbot in Devon or between Liskeard and Looe in Cornwall.
In Wales, buses replaced trains between Pwllheli and Harlech and between Llanelli and Carmarthen where the line was blocked.

In southern Scotland, electrical supply problems between Carstairs and Lockerbie caused delays of up to 60 minutes, with Virgin's West Coast services among those affected.

Sections of a number of major roads were closed due to flooding. These included the A29 in Bognor Regis in West Sussex, the A30 in Windlesham in Surrey, the A438 at Letton in Herefordshire, and the A487 near Newgale in Pembrokeshire.
Escape: These pictures show the incredible moment a family were swamped by huge waves in Cornwall. Taken yesterday, they show a man and woman with two young children drenched in water after being blasted by waves at Mullion Cove
Escape: These pictures show the incredible moment a family were swamped by huge waves in Cornwall. Taken yesterday, they show a man and woman with two young children drenched in water after being blasted by waves at Mullion Cove
First surge: Waves strike Coney Beach Pleasure Park at high tide in Porthcawl this morning during a storm which will see the highest tide to hit Wales' coast in a decade
First surge: Waves strike Coney Beach Pleasure Park at high tide in Porthcawl this morning during a storm which will see the highest tide to hit Wales' coast in a decade
Warning: Powerful winds and the highest tide expected in all of 2014 has already hit South Wales, where homes have been evacuated today
Warning: Powerful winds and the highest tide expected in all of 2014 has already hit South Wales, where homes have been evacuated today

Dramatic: A hooded man looks out from the seafront West Bay during stormy weather in Dorset, England this morning
Dramatic: A hooded man looks out from the seafront West Bay during stormy weather in Dorset, England this morning

Carnage: A runner looks concerned as he stares at rocks thrown up by the strong waves and over the harbour wall at Porthcawl
Carnage: A runner looks concerned as he stares at rocks thrown up by the strong waves and over the harbour wall at Porthcawl

Stormy: A cyclist gets soaked as sea spray is blown towards the land off the Dorset coast today as yet another storm hits Britain
Stormy: A cyclist gets soaked as sea spray is blown towards the land off the Dorset coast today as yet another storm hits Britain

Warning: Despite being warned to stay away from the coast today, residents in Clevedon, North Somerset came to watch the waves crash over the sea wall
Warning: Despite being warned to stay away from the coast today, residents in Clevedon, North Somerset came to watch the waves crash over the sea wall
Violent: Waves crash over Ardrossan harbour lighthouse in Ardrossan , Scotland, as the British Isles suffers because of more bad weather
Violent: Waves crash over Ardrossan harbour lighthouse in Ardrossan , Scotland, as the British Isles suffers because of more bad weather

DESPITE A MONTH OF SEVERE FLOODS EXPERTS FACE LAY-OFFS

Lay-offs at the Environment Agency will affect the organisation’s ability to cope with flooding, bosses said last night.
More than 550 staff who work in flood risk management could lose their jobs as part of restructuring to save money.
Paul Leinster, the agency’s chief executive, said maintenance work would be hit and new developments would have to be ‘resized’.
‘Flood risk maintenance will be impacted,’ he said.
‘And we’re looking at a proportionate reduction in the number of people in flood risk management.’ The planned staff losses come despite a funding increase from the Department for the Environment, Food and Rural Affairs.
A spokesman for the agency downplayed the staffing cuts, adding: ‘Our budget for 2014-15 will be confirmed shortly.
‘However, we are likely to reduce staff numbers from the previous forecast of around 11,250 at the end of March 2014 to around 9,700 by October 2014 dependent on future funding.
‘We will then aim to keep numbers broadly at that level, through to March 2015, dependent of course on future funding.’
There was also flooding on the A1101 near Welney in Norfolk, on the A3055 at Sandown on the Isle of Wight and on the A4042 at Abergavenny in South Wales.
One lane was closed on the M25 near Chertsey in Surrey due to flooding.
Other sections of road that had to be shut after flooding included the A4 in Bristol, the A7 at Hawick in southern Scotland and the A29 at Pulborough in West Sussex.
Driving conditions on the A74 in Lanarkshire in Scotland were described as 'hazardous'.
A number of ferry services had to be axed, with others disrupted.
Cancelled services included Argyll Ferries crossings between Gourock and Dunoon and the P&O Irish Sea route between Cairnryan and Larne and between Troon and Larne.
British Airways and Virgin Atlantic were among carriers which experienced delays and cancellations to some transatlantic flights due to severe winter weather in the eastern USA.
BA said: We are operating a normal schedule from Heathrow today, both domestically and to the US.
We did experience some disruption to services to and from New York, Boston and Philadelphia yesterday and overnight, due to severe weather in the area.
'Our teams have been working extremely hard to help customers whose flights have been affected, offering alternative services or a full refund.'
The westbound carriageway of the A30 in Launceston, Cornwall, has been closed following a serious road accident this morning, police said.
Seaside towns and villages have been hit as spring tides overflowed into streets and homes.
A car has been swept into the sea at Portscatho after getting caught in a swollen stream. The driver managed to scramble to safety.
At Newquay, Fistral's beach bar has partly collapsed after sea defences were undermined by the pounding waves.
Floods shut roads in Fowey, Polzeath, Millbrook, Tresillian, Penzance and Looe, and in Saltash the water was lapping at the feet of the Brunel statue.
The Environment Agency is urging people to stay off the beaches and clear of the coasts, with fears that a deadly combination of 70mph winds and 20ft waves will add to the dangers of more high spring tides due over the next couple of days.
Floodplain: The River Severn near Westbury has flooded fields after unusually high tides combined with a the Severn Bore caused it to burst its banks
Floodplain: The River Severn near Westbury has flooded fields after unusually high tides combined with a the Severn Bore caused it to burst its banks

Homes at risk: The River Stour laps to the doors of homes at Iford Bridge Home Park in Bournemouth today
Homes at risk: The River Stour laps to the doors of homes at Iford Bridge Home Park in Bournemouth today

Saturated: The Stour in Dorset is barely passing under the bridge here in Bournemouth as 500 areas of the UK are under threat of flooding
Saturated: The Stour in Dorset is barely passing under the bridge here in Bournemouth as 500 areas of the UK are under threat of flooding

Roads only just passable: Cars drive through flood water near the expensive Sandbanks district near Weymouth in Dorset
Roads only just passable: Cars drive through flood water near the expensive Sandbanks district near Weymouth in Dorset

Mark Pilcher from the Environment Agency said 'We've got a big spring tide anyway, and that's coupled with this surge that is being pushed by the wind and the low pressure that will potentially compromise some of the coastal defences.
'People need to think about their location. Are they close to harbours? Are they in low lying parts of the coast? Are they in areas that they remember perhaps flooded in 2008 when we had a similar situation? And make preparations.
'Think about all the things you've had for Christmas, all your precious things get them upstairs. Think about how to look after yourself first and your property next.
'You've got to be safe. I know people like to go out and look at the drama of the waves but please please do not put yourself at risk.
'The wind will be strong the waves will be big and they will be very powerful. One mistake could be very, very serious. Please don't put yourself at risk.'
Braced: Lyme Regis has taken a severe battering from heavy seas and high waves but its sea defences have held strong under great pressure
Braced: Lyme Regis has taken a severe battering from heavy seas and high waves but its sea defences have held strong under great pressure

UK-wide: Waves break over the esplanade in Saltcoats, west Scotland as Britain's sea defences creak with a barrage of wind and water
UK-wide: Waves break over the esplanade in Saltcoats, west Scotland as Britain's sea defences creak with a barrage of wind and water

A man and boy look on as waves break over Saltcoats
The pair they then fled the spray
Crashing waves: A man and boy look on as waves break over Saltcoats before the pair then fled the waves and heavy spray

Picturesque: A dog walker watches the huge waves roll in at Lynmouth during an early morning stroll along the Devon village's beach
Picturesque: A dog walker watches the huge waves roll in at Lynmouth during an early morning stroll along the Devon village's beach