Pata hiyo na ukome: Shabiki wa Liverpool akimchapa konde wa Chelsea nje ya Uwanja wa Anfield
VURUGU ilizotokea nje ya Uwanja wa Anfield kufuatia Liverpool kufungwa na Chelsea mabao 2-0 jana.
Picha zinaonyesha kitimutimu cha maana nje ya Uwanja wa Anfield Road baada ya mashabiki wa Liverpool kuwavaa mashabiki wa Chelsea waliokuwa wakiimba jina la Nahodha wa Wekundu hao, Steven Gerrard baada ya mechi.
Makosa ya Gerrard yalisababisha bao la kwanza la Chelsea lililofungwa na Demba Ba na mashabiki wa The Blues wakawatia hasira Liverpool kwa kuimba jina la mchezaji huyo.

Mashabiki wa Chelsea wakizomea kwa jeuri ya ushindi wa 2-0

Mashabiki wakizipiga chanzo ni kuzomewa kwa Steven Gerrard

Polisi wakituliza ghasia

Baba akiongozana na kijana wake kutoka eneo la vurugu huku watu wakiendelea kuchapana nyuma yake

Polisi walilazimika kuwaachanisha watu wengine waliopelekana hadi chini katika mapambano yao

Polisi wakiwwka uzio baina ya mashabiki wa Liverpool na Chelsea

Mashabiki wa Liverpool wakisema na Polisi waliokuwa wakituliza ghasia hizo





.jpg)
.jpg)














Mh:Mwigulu Nchemba Naibu Katibu Mkuu CCM-Bara akiwasili Ukumbini hapa Maryland kufungua Shina la Chama cha Mapinduzi hii leo.
Naibu
katibu Mkuu CCM-Bara Mh:Mwigulu Nchemba akiwapungia Mkono Wana-CCM
waliofika kwenye Ufunguzi wa Shina la CCM-Maryland hapa Marekani.
Comrade
Mwigulu Nchemba akisalimiana na 
Makada watiifu wa Chama cha Mapinduzi hapa Maryland.


Wadau wakipata Ukodak.
Mh:Mwigulu
Nchemba akipokea kadi ya aliyekuwa Mwanachama wa CHADEMA ambaye ameamua
Kuachana na Chama hicho na Kujiunga na Chama cha Mapinduzi,
Loveness
Mamuya kada Mtiifu wa CCM na Muasisi wa harakati za CCM hapa Marekani
akiwasalimia wanachama wa Chama cha Mapinduzi waliofika kwenye Uzinduzi
wa Shina la CCM Maryland.
Mwenyekiti
wa CCM Kwa Watanzania waliopo DMV akizungumza na Wana-CCM Umuhimu wa
Kujiunga na Chama cha Mapinduzi,Pia amezungumzia Maadili ya Watanzania
wanaoishi nje ya Nchi hususani Marekani Kutukana Viongozi Mitandaoni"Huo
sio Utamaduni Wetu Watanzania" alisema.
Hapa ni Mwendo wa CCM nambari One.
Makada Watiifu wa Chama cha Maopinduzi hapa Maryland.
