Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Wednesday, January 14, 2015

AJALI MBAYA YATOKEA MAENEO YA MKATA,DEREVA ANUSURIKA KUFARIKI

 Gari ndogo ikiwa imeharibika vibaya baada ya kugongana na Basi la Meridian
 Wasamaria wema wakinasua dereva wa gari ndogo
Dereva wa Gari ndogo akiwa haamini kama amepona
 Ajali hii imehusisha basi la abiria la Meridiani pamoja na gari ndogo binafsi.Dereva wa gari binafsi amenusurika kifo baada ya gari yake kuharibika vibaya.
 Ajali hii imetokea maeneo ya Mkata barabara ya kwenda mikoa ya Kaskazini.

No comments:

Post a Comment