Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Thursday, February 5, 2015

Utafiti:Kukimbia kupitia kiasi kunadhuru

Mtu na mkewe wakifanya zoezi la kukimbia
Kufanya zoezi la kukimbia kupitia kiasi kunaweza kukudhuru vibaya afya yako kama vile kutovaa viatu wakati huo, kulingana na ripoti ya jarida la chuo cha Marekani cha magonjwa ya moyo.
Wanasayansi waliwachunguza zaidi ya wakimbiaji 1000 na wale wasiokimbia katika kipindi cha miaka 12.


Wale waliokuwa wakikimbia kwa kasi isiopungua ama hata kuongezeka kwa mda wa saa mbili na nusu kwa wiki walikuwa na uwezekano mdogo kuaga dunia wakati huo.
Lakini wale waliokimbia kwa zaidi ya saa nne kwa wiki ama hawakufanya mazoezi kabisa walikuwa na viwango vya juu vya kuaga dunia.

Baada ya kufanya utafiti, wanasayansi waligundua kwamba watu wanafaa kukimbia kwa kilomita nane kwa saa na kwamba ni vyema kukimbia chini ya masaa matatu kwa wiki kwa jumla ikiwa ni saa 2 na nusu.

No comments:

Post a Comment