Basi la kampuni ya Jordan lenye namba za usajili T650 AQZ,
linalofanya safari zake kati ya Mwanza na Moshi limepata ajali.Mpaka sasa mtu
mmoja anadaiwa amepoteza maisha baada ya kulaliwa na basi hilo.
TADB YASHIRIKI MAADHIMISHO YA WIKI YA HUDUMA ZA FEDHA KITAIFA
-
Maadhimisho ya Wiki ya Huduma za Fedha Kitaifa kwa mwaka 2026 yameanza
rasmi leo tarehe 19 Januari, 2026 katika Viwanja vya Usagara vilivyopo
jijini Tanga....
2 hours ago



No comments:
Post a Comment