Bondia ngangari, Wladimir Klitschko ameonyesha licha ya kuwa mbabe lakini ni baba mwemaAmeonyesha nibaba anayejali baada ya kutumia muda wake mwingi akiwa na binti yake wa miezi minne.Klitschko alitumia muda mwingi akiogelea na binti huyo kwa raha mustarehe.
MAJALIWA: MICHEZO NI NYENZO MUHIMU INAYODUMISHA AMANI
-
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema ushirikiano katika michezo ni nyenzo
muhimu katika kudumisha diplomasia na amani miongoni mwa nchi washirika wa
Baraza ...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment