Kamanda wa Polisi wa Mkoa
wa Morogoro, Leonard Paulo, akiwaonesha waandishi wa habari ( hawaonekani
pichani) milipuko hatari aina ya ' Water
explosives gel ' iliyokamatwa jana usiku kutoka kwa watuhumiwa tisa waliokuwa wamehifadhiwa ndani ya msikiti wa
Suni uliopo Tarafa ya Kidatu, wilayani Kilombero mkoani Morogoro.
Serikali yaweka Mkakati Sekta ya Uzalishaji wa Dawa, yaanzisha Vivutio
Maalum Mloganzila na Kibaha
-
*Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam*
*Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imetangaza uwekezaji mkubwa wa
kimkakati katika sekta ya uzalishaji wa daw...
6 hours ago


No comments:
Post a Comment