Kamanda wa Polisi wa Mkoa
wa Morogoro, Leonard Paulo, akiwaonesha waandishi wa habari ( hawaonekani
pichani) milipuko hatari aina ya ' Water
explosives gel ' iliyokamatwa jana usiku kutoka kwa watuhumiwa tisa waliokuwa wamehifadhiwa ndani ya msikiti wa
Suni uliopo Tarafa ya Kidatu, wilayani Kilombero mkoani Morogoro.
MADAKTARI SEKOUTOURE WAFANIKISHA KUTOA JIWE LA GRAM 800 KWENYE KIBOFU CHA
MKOJO
-
Madaktari wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mwanza Sekoutoure wamefanikiwa
kufanya upasuaji na kuondoa Jiwe ndani ya kibofu cha Mkojo kwa Mwanamke
mw...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment