Kamanda wa Polisi wa Mkoa
wa Morogoro, Leonard Paulo, akiwaonesha waandishi wa habari ( hawaonekani
pichani) milipuko hatari aina ya ' Water
explosives gel ' iliyokamatwa jana usiku kutoka kwa watuhumiwa tisa waliokuwa wamehifadhiwa ndani ya msikiti wa
Suni uliopo Tarafa ya Kidatu, wilayani Kilombero mkoani Morogoro.
Kitaifa : Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba akutana na waziri Mkuu Mstaafu
Kassim Majaliwa
-
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amekutana na Waziri Mkuu Mstaafu Kassim
Majaliwa nyumbani kwake Nandagala, Ruangwa mkoani Lindi.
Mheshimiwa Dkt. Mwigu...
4 hours ago


No comments:
Post a Comment