Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Saturday, May 2, 2015

MAYWEATHER, PACQUIAO WAPIMA UZITO, SASA KILICHOBAKI NI KUCHAPANA TU

Mabondia Floyd Mayweather na Manny Pacquiao wamepima uzito ikiwa ni hatua muhimu ya kuthibitisha pambano la kesho.Kukutana kwao na kupima uzito, maana yake kila kitu kimekamilika na kinachosubiriwa ni ndonga tu kesho.Ndiyo pambano ghali zaidi katika historia ya ngumi duniani na linasubiriwa kwa hamu duniani kote wakati wawili hao wakipambana jijini Las Vegas, Marekani.





























No comments:

Post a Comment