Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Friday, July 24, 2015

TAZAMA PICHA ZA GARI ZA IKULU YA MAREKANI ZIKIKATISHA MITAA YA JIJI LA NAIROBI

beast-ri_653
July 23 2015 zimebaki saa chache kabla ya kushuhudia Rais Obama akitua Kenya, mambo yanazidi kunoga… yani unaambiwa kila unapokatisha mitaa ya Nairobi lazima utagundua vitu tofauti tofauti hivi vinavyoashiria kuwa kuna ugeni very soon !!
Kila mahali ambapo Obama anaenda huwa ana usafiri wa ndege yake ya Air Force One, na hata gari yake pia ambayo inaitwa ‘Cadillac One, Limo One au The Beast
8161291561_6f92c923a4_b
Ndege ya Rais Obama, Air Force One.
Beast1
The Beast imekutwa kwenye Kituo cha Mafuta Nairobi ikijaza mafuta.
Zimenifikia hizi pichaz zikionesha gari za msafara wa Obama ikiwemo Limo One aka Cardillac One zikikatisha mitaa ya Nairobi.
beast2 (1) 


beast2
Mwingine akaiona kwa mbaaali barabarani lakini hakutaka impite hivihivi.
beast3
Mwingine akaina kwa dirishani kabisa.
DSC09939
pobsrpi4izyzwzg455af822915970
Imeandaliwa na millard ayo

No comments:

Post a Comment