Davido ni msanii wa Nigeria ambaye ujazo wa jina lake
ulizidi kuongezeka Tanzania baada ya kufanya ‘number one rmx’ na Diamond
Platnumz, wawili hawa walitaja kuwa kwenye beef baada ya Davido kuandika
sentensi tata baada ya Tanzania kutangazwa mshindi wa shindano la BBA 2014.
NAIBU WAZIRI AIPONGEZA TASAC KWA KUBORESHA HUDUMA ZA USAFIRI MAJINI
-
Naibu Waziri wa Uchukuzi, Mhe. David Kihenzile, amelipongeza Shirika la
Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) kwa jitihada zake za kuendelea kuboresha
sekta y...
1 hour ago


No comments:
Post a Comment