Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Monday, August 17, 2015

MAPOKEZI YA LOWASSA JIJINI MWANZA VIWANJA VYA FURAHISHA

 Waziri Mkuu Mstaafu Lowassa,  Akizungumza na wananchi pamoja na wafuasi wa chama hicho Jijini Mwanza katika Viwanja vya Furahisha Kirumba. (PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA) Mmiliki wa UJIJIRAHAA BLOG.

 Wananchi wakiwemo wafuasi wa Chama hicho wakionyesha juu Mikono wakiwa wanaonyesha vidole juu
 Mwenyekiti wa Chama hicho Mbowe (kulia) akiwa juu ya Gari akiwasalim wanachama wa Chama hicho alipokuwa akiwasili viwanja vya Furahisha Jijini Mwanza na kushoto ni aliyewa  Mbunge wa Jimbo la Kahama, mkoani Shinyanga, James Lembeli kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) aliye timkia Chadema.

 
Lowassa akiwapungia mkono wananchi na wafuasi wa Chama hicho alipokuwa akiingia katika viwanja vya Furahisha, Kirumba Jijini Mwanza
 Lowassa akisalimiana na Mwenyekiti wake
 Viongozi wa Chama hicho wakiwa wamesimama wakati walipokuwa wakiimba wimbo wa Taifa
 Lowassa wakiteta jambo na Mwenyekiti wa Chama hicho
 Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi, James Mbatia  akiteta jambo na Lowassa katika viwanja vya Furahisha
 Askari wa Jeshi la Polisi walipata wakati mgumu  wakihakikisha usalama unakuwepo katika maeneo hayo
 Walinzi wa Lowassa wakihakikisha usalama unakuwepo katika Gari la Kiongozi huyo na wengine wakitaka wampe mikono na wakatumia kamba.
 Mapacha waungana
 Mikono wa wafuasi hao wakipunga mikono
 Wengi wajitokeza mapokezi ya Lowassa
 Kabla hajafika Kiongozi huyo katika viwanja vya Furahisha
Sehemu ya uwafuasi na wanachama

No comments:

Post a Comment