Ngoma Africa band yenye makazi yake nchini Ujerumani na Mama wa Mitindo Asia Idarous-Khamsin walivyonogesha hafla ya Kongamano la Pili la Diaspora lililofanyika hoteli ya Serena jijini Dar es salaam Agosti 15, 2015 ambapo Ngoma Africa band walituma CD yenye nyimbo kali mbili za kumuaga Rais Kikwete na Mama wa Mitindo alifanya onesho maalumu la mavazi ya Kiafrika.
HATUTACHEZA TENA NA SIMBA MSIMU HUU
-
Baada ya Yanga Sc kukamilisha taratibu zote kwa ajili ya mchezo wao dhidi
ya Simba, ambao ulipaswa kufanyika jana saa 1:15 usiku katika Uwanja wa
Benjami...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment