Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiweka mchanga kaburini huku Waziri wa
Ujenzi Dkt John Pombe Magufuli akisubiri zamu yake wakati wa mazishi ya
Marehemu Iddi Ubwa Mazongera
aliyekuwa Diwani wa Kata ya Yombo
Wilayani Bagamoyo mkoa wa Pwani aliyefariki juzi na kuzikwa jana kwenye
makaburi ya Kichangani, Bagamoyo
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Waziri wa Ujenzi Dkt John Pombe Magufuli wakimfariji mjane wa Marehemu Iddi Ubwa Mazongera aliyekuwa Diwani wa Kata ya Yombo
Wilayani Bagamoyo mkoa wa Pwani aliyefariki jana na kuzikwa leo kwenye makaburi ya Kichangani, Bagamoyo. Katikati ni Mama Salma Kikwete
Wilayani Bagamoyo mkoa wa Pwani aliyefariki jana na kuzikwa leo kwenye makaburi ya Kichangani, Bagamoyo. Katikati ni Mama Salma Kikwete
PICHA NA IKULU
No comments:
Post a Comment