Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Monday, August 3, 2015

TAZAMA VIDEO YA JULIO AKIJINADI KUGOMBEA UDIWANI KATA YA KIGOGO



Kocha wa Mwadui FC ya mkoani Shinyanga Jamhuri Kihwelu maarufu kwa jina la JULIO ni miongoni mwa waliotia nia ya kugombea udiwani katika kata ya Kigogo kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Msikilize Julio alipokuwa akijinadi mbele ya wapiga kura.

No comments:

Post a Comment