Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Friday, August 21, 2015

WAZIRI MKUU AHUDHURIA MIAKA MIAMOJA YA SKAUTI NCHINI UGANDA

Rais wa Uganda Yoweri Museni akiongea na Waziri mkuu Mizengo Pinda katika sherehe ya Skauti kwakutimiza miaka miamoja nchini Uganda kulia  Waziri  wa Jinsia kazi namaendeleo ya Jamii Hajati Rukia Isanga Nakadama Waziri mkuu alimuwakilisha Rais Jakaya Kikwete  Picha na Chris Mfinanga.
 Waziri mkuu Mizengo Pinda akiwa anateta jambo na Makamu wa Raisi wa Sudani Kusini H.E James Wani Igga ambaye aliwakilisha nchi yake katika sherehe ya Skauti kutimiza miaka miamoja nchini Uganda kulia kwa waziri mkuu ni Naibu Mkuu wa Itafaki Bw. James Bwana .

Picha na Chris Mfinanga.

No comments:

Post a Comment