Jana
katika mahojiano na Tiddo Muhando kwenye kipindi cha Funguka, Zitto
Kabwe amewaonya wana CHADEMA wanaomtusi Dr Slaa kwa sababu ya Lowassa
kuwa watamkumbuka baada ya uchaguzi. Watu makini kama Dr Slaa na Prof
Lipumba
wanaondoka na watu eti wanamuona Lowassa leo kawa bora?
Zitto
kasema hivi sasa CHADEMA msingi wake umekuwa ni "Lowassa" na si
kupambana na ufisadi tena. Baada ya uchaguzi hakutakuwa na CHADEMA ile
tuliyoifahamu na ndipo hapo watanzania watakapomkumbuka Dr Slaa.
No comments:
Post a Comment