Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Wednesday, September 16, 2015

DARAJA LA KIKWETE LENYE UREFU WA MITA 275 LAZINDULIWA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Jakaya Kikwete akipeana mikono na Balozi wa Korea Kusini Mhe. Chung II, Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Luteni Kanali Mstaafu Issa Machibya na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Eng. Joseph Nyamhanga mara baada ya ufunguzi wa Daraja la Kikwete katika Mto Malagarasi.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Jakaya Kikwete akiwa pamoja na mkewe Mama Salma Kikwete katika picha ya pamoja na ujumbe wa Korea Kusini uliojenga Daraja la Kikwete katika Mto Malagarasi mara baada ya kulifungua rasmi Daraja hilo lenye urefu wa mita 275 na barabara unganishi zenye urefu wa Km. 48.

 
Muonekano wa Daraja la Kikwete katika Mto Malagarasi lenye uwezo wa kubeba tani 180 na kudumu kwa miaka 100 kama likilindwa na kupitisha mizigo isiyozidi uzito.

No comments:

Post a Comment