Aliyekuwa Mtangazaji wa kipindi cha XXL cha Clouds FM,Fatma Hassan ‘Dj
Fetty’ leo amewaaga rasmi wasikilizaji na wafanyakazi wenzake na
kuachana na kazi ya utangazaji na kufanya shughuli zake za kibiashara.
Watangazaji wa XXL B12,Adam Mchomvu,Dj Zero na Kenned ambaye amejiunga
kwenye familia ya XXL na Clouds FM na amechukua nafasi ya Dj Fetty.
Kenned The Remmedy’ ambaye amejiunga na familia ya XXL akiwa na Adam Mchomvu.
Dj Fetty akiwa mwenye masikitiko
FCC YAJIPANGA KUONGEZA UBORA NA UFANISI KUPITIA MAFUNZO KWA WAFANYAKAZI WAKE
-
*Mkurugenzi wa Tafiti, Muungano wa Makampuni, na Utoaji wa Elimu ya
Ushindani, Zaituni Kikula akichangia mada katika mafunzo hayo yanayofanyika
kwa...
42 minutes ago
No comments:
Post a Comment