
Wakazi wa Jimbo la Kibamba jijini Dar es Salaam wajitokeza kumlaki mgombea urais wa Ukawa Edward Lowassa Septemba 7, 2015

Ni ishara ya Lowassa Mabadiliko, Mabadiliko Lowassa

Edward Lowassa akiongozana na Freeman Mbowe kwenda kufanya kampeni katika jimbo la Kibamba jijini Dar es Salaam

Edward Lowassa akilakiwa na mamia ya wakazi wa Kibamba

Lowassa akiwasalimia wakazi wa Kibamba

Lowassa akionyesha ishara ya kuwasalimia kwa dhati wakazi wa Jimbo la Kibamba jijini Dar es Salaam

Mamia ya wakazi wa Kibama wajitokeza kumlaki Edward Lowassa

Mabadiliko Lowassa, Lowassa Mabadiliko

Meza Kuu (kutoka kushoto) Frederick Sumaye, Edward Lowassa, Freeman Mbowe, Salim Mwalim

Mwnedo wa Mabango tu

Mbunge wa Kawe Halima Mdee akizungumza na wakazi wa jimbo la Kibamba

Mgombea urais Edward Lowassa akizungumza na wakazi wa Jimbo la Kibamba Septemba 8, jijini Dar es Salaam. Picha na EATV
No comments:
Post a Comment