Mwanasiasa mkongwe Kingunge leo ameongea na wanahabari na kutangaza kujitoa Chama Cha Mapinduzi Hay ni baadhi ya aliyosema
"..Mimi kuanzia sasa najitoa Chama cha Mapinduzi, najua uamuzi wangu utawasumbua baadhi ya marafiki zangu, makada wenzangu, wazee wenzangu hata vijana wengi lakini
uamuzi ambao lazima niufanye kwa sababu vinginevyo Mimi nitajisaliti mwenyewe....
"..Mimi kuanzia sasa najitoa Chama cha Mapinduzi, najua uamuzi wangu utawasumbua baadhi ya marafiki zangu, makada wenzangu, wazee wenzangu hata vijana wengi lakini
uamuzi ambao lazima niufanye kwa sababu vinginevyo Mimi nitajisaliti mwenyewe....
Pili sikusudii kujiunga na chama chochote.." #Kingunge
October 4, 2015., 3:33 PM - Nyumbani kwake DSM
picha na Stanslaus Lambart
picha na Stanslaus Lambart
No comments:
Post a Comment