Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Monday, October 19, 2015

KAMPENI YA UHAMASISHAJI JUU YA MABADILIKO YA TABIANCHI KUPITIA UENDESHAJI WA BAISKELI YAANZA MBEYA

Waendesha baiskeli kutoka Malawi wakiwasili kwenye mpaka wa Tanzania na nchi hiyo tayari kwa kukabidhi kijiti cha kampeni hiyo kwa wenzao wa Tanzania.
Mmoja wa waendesha baiskeli Tanzania ambaye pia ni Ofisa Miradi wa Norwegian Church Aid, Tanzania, Gilbert Mworia.

 
Meneja Miradi wa shirika la Norwegian Church Aid, Augustina Mosha akizungumza jambo wakati wa uzinduzi wa kampeni ya uhamasishaji juu ya mabadiliko ya tabianchi kupitia uendeshaji wa baiskeli.
Waendesha baiskeli wa Tanzania wakiwa katika mji wa Kyela Mbeya
Mama Mosha akiwa na baadhi ya waendesha baiskeli wa Tanzania
Balozi wa kampeni ya We Have Faith nchini Malawi, Father George Buleya (kushoto) akiwa na Mratibu wa Vijana kutoka YouthCAN Tanzania, Francisca Damian wakati wa hafla ya kukabidhiana kampeni hiyo iliyofanyika kwenye mji wa Kasumulu, Mbeya.

Na Dotto Kahindi

No comments:

Post a Comment