Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Tuesday, October 20, 2015

MDAU WETU SILLAS MBUYA AFUNGA NDOA NA ANCILLA

 Bwana na Bibi harusi wakiingia kanisani kwa ajili ya kufungishwa ndoa katika kanisa la KKKT Sinza jana Jumapili.(Picha na Geofrey Adroph)
 
  Mchingaji akitoa neno kwa wanandoa hao waliofunga pingu za maisha katika kanisa la KKKT Sinza jijini Dar juzi Jumapili.

 
 Bwana Harisi Sillah Mbuya akimvalisha pete ya ndoa mke wake Ancilla katika kanisa la KKKT Sinza
 Bibi harusi akimvalisha pete mme wake Sillah Mbuya uku mchunhaji akishuhudia tukio hili la kihistoria
 Mchungaji akitoa baraka kwa wanandoa hao

Bwana na Bibi harusi wakikumbatiana kwa furaha hakika yaliyoandikwa yametimia
 Bwana Harusi Sillah Mbuya akisaini cheti cha ndoa
 Bibi harusi Ancilla akisaini cheti cha ndoa
 Mchungaji akisaini cheti cha wanandoa Sillah na Ancilla
 Sillah akicheza kwa furaha mara maada ya kutoka kanisani
 Bibi Harusi na bwana Harusi pamoja na wapambe wao wakiwa wamenyoosha grass zao juu kwa 
 Hakika ilikuwa ni furaha
 
 
Wageni waalikwa wakiendelea kugongesha grass zao kwa bibi na bwana harusi
Bwana na Bibi Ernest Njeje 
 
 Bwana na Bibi harusi wakiendelea kuserebuka wakati wa harusi yao iliyofanyika katika ukumbi wa Kiramuu Mbezi Beach juzi jumapili.
 Bwana na Bibi wakionesha pete zao za ndoa
 Bwana na Bibi haruzi wakikata nyama ya Mbuzi iliyoandaliwa kwa ajili yao
 Bwana Harusi akimlisha kipande cha nyama mke wake Ancilla
 Bibi harusi akimlisha kipande cha Nyama Mme wake Sillah Mbuya
 Bibi Harusi Ancilla Mrema akimlisha kipande cha nyama mama mzazi wa bwana harusi hii ni kuonesha upendo kwa familia zote
 Bwana Harusi SIllah Mbuya akimlisha kipande cha nyama mama mzazi wa Bibi harusi
 Bibi na Bwana Harusi wakionesha tabasamu la nguvu
 Wageni wakifuatilia kinachoendelea ukumbini hapo
 
 Bwana Harusi Sillah Mbuya akisakata rhumba na ndugu pamoja na jamaa waliofika katika harusi yake iliyofanyika katika Ukumbi wa Kiramuu.
 Mama na Baba wa Sillah Mbuya wakikabidhi zawadi ya biblia kwa watoto wao waliofunga ndoa.
 Mama mzazi wa Bibi Harusi akitoa zawadi ya Biblia kwa Bwana na Bibi harusi
Baadhi ya wanakati wakitoa pongezi kwa bibi harusi na Bwana haru mara baada ya kutoa zawadi zao
Katibu wa kamati ya Maandalizai ya Harusi akitoa neno la shukranni kwa wageni waalikwa waliofika katika harusi ya Sillah na Ancilla  iliyofanyika katika ukumbi wa Kiramuu Mbezi Beach.

No comments:

Post a Comment