PICHA HUZUNI::::MCHUNGAJI MTIKILA AFARIKI DUNIA KWA AJALI YA GARI
Mwanasiasa Mkongwe na Mwenyekiti wa Chama cha DP mchungaji Christopher Mtikila amefariki dunia mapema leo Asubuhi katika kijiji cha Msolwa,Chalinze mkoani Pwani mara baada ya kupata Ajali ya gari huku watu watatu wakijeruhiwa katika Ajali hiyo.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani amethibitisha Ajali hiyo
Tutaendelea kuwajuza kadri taarifa tunavyozipata.
Mwenyezi Mungu ailaze roho yake mahala pema peponi Amen
RAIS MAGUFULI NA HISTORIA ISIYOFUTIKA
-
Na Emmanuel J. Shilatu
Kama ambavyo Watanzania tunavyomkumbuka Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius
Nyerere kwa kusaidia ukombozi wa upatikanaji wa uhur...
-
*MAENDELEO BANK - PLC, inatarajia kufanya Mkutano mkuu wa 4 wa mwaka
Mkutano huo utakaowakutanisha Wanahisa wote utafanyika Juni 23 mwaka huu
kwenye ukum...
No comments:
Post a Comment