Mara baada ya Kumaliza shughuli za Kuapishwa kuwa Rais wa Tanzania awamu ya Tano Dk John Pombe Magufuli aliingia Uwanjani kama Waziri wa Ujenzi na Kutoka na Msafara Kama Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Mara baada ya Rais wa awamu ya nne kumkabidhi wadhifahuo katika uwanja wa zamani wa Taifa jijini Dar es Salaam.
TUME HURU YA UCHAGUZI YAFAFANUA KUHUSU MASHARTI YA KUOMBA KAZI ZA MUDA ZA
WATENDAJI WA VITUO VYA UBORESHAJI
-
Copyright 2007-2021 @KAJUNASON BLOG
18 minutes ago
No comments:
Post a Comment