HABEN Girma ni mwanafunzi wa kwanza asiyeweza kuona au kuisikia, kuhitimu kutoka chuo kikuu cha Harvard. Ana lengo kubwa katika maisha. Alizaliwa Carlifornia baada ya mama yake kukimbia kutoka Eritrea miaka ya 80, na kwenda Marekani kama mkimbizi.
KIONGOZI WA MWENGE AMPONGEZA CHUSA UJENZI WA WODI
-
Na Mwandishi wetu, Mirerani
MWENGE wa uhuru umeweka jiwe la msingi kwenye wodi ya wanawake na watoto
katika kituo cha afya Mirerani Wilayani Simanjiro M...
9 hours ago

No comments:
Post a Comment