Mwimbaji mkongwe wa muziki wa dansi Kasongo Mpinda aliyefariki
jana jioni, atazikwa leo saa 10 jijini Dar es Salaam. Kasongo Mpinda atazikwa
makaburi ya Kisutu kwa taratibu zote za Kiislam. Mtoto wa kiume wa marehemu Kasongo,
Kiloman amesema kuwa taratibu za mazishi zitaanzia
nyumbani Kinondoni jirani na
Demage Hotel kuanzia asubuhi hadi muda wa kuupeleka mwili wa baba yao kwenda
kuzika makaburi ya Kisutu.
No comments:
Post a Comment