Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Thursday, January 21, 2016

JKT RUVU YAKUBALI KICHAPO CHA MABAO 2 -0 KUTOKA KWA SIMBA

Mshambuliaji wa Simba, Daniel Lyanga akielekea kuifungia timu yake bao la pili dhidi ya JKT Ruvu baada ya kumtoka golikipa wa JKT Ruvu, Hamis Seif katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam leo. Simba ilishinda 2-0. (Picha na Francis Dande) 
Patashka.

 
Raha ya ushindi.
Kutoka kushoto, Amis Kiiza, Daniel Lyanga na Kihongera Raphael wakishangilia bao la pili la timu ya Simba lililofungwa na Lyanga.

No comments:

Post a Comment