Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri
Mkuu,Sera Bunge, Vijna,Ajira na Walemavu, Jenista Mhagama wakisalimiana
na Bibi Vai Madelema na mwanae Josia Madelema (kushoto) wakati
walipotembelea kijiji cha Chinangali wilayani Chamwino ambako walikwenda
kukagua athali za njaa kwa wanakijiji Januari 20, 2016. (Picha na Ofisi
ya Waziri Mkuu)
Rais Samia apokea Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali
(CAG) na Taarifa ya Utendaji Kazi wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na
Rushwa (TAKUKURU) leo
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akipokea
Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwa mwaka
2022/2...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment