Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri
Mkuu,Sera Bunge, Vijna,Ajira na Walemavu, Jenista Mhagama wakisalimiana
na Bibi Vai Madelema na mwanae Josia Madelema (kushoto) wakati
walipotembelea kijiji cha Chinangali wilayani Chamwino ambako walikwenda
kukagua athali za njaa kwa wanakijiji Januari 20, 2016. (Picha na Ofisi
ya Waziri Mkuu)
NHC YAUNGA MKONO MAENDELEO YA UNUNUZI NA UGAVI KUPITIA KONGAMANO LA KITAIFA
-
ARUSHA-Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) linashiriki katika Kongamano la 16
la Mwaka la Wataalam wa Ununuzi na Ugavi jijini Arusha.
Kongamano hilo ambal...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment