Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeifuta kesi ya kutumia
lugha ya matusi kwa maofisa wa Jeshi la Polisi iliyokuwa ikimkabili aliyekuwa
Waziri wa Mambo ya Ndani nchini, Lawrence Masha (45) ambaye kwa sasa ni kada wa
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema).
Rais Samia Aagiza Hoja za Wafanyakazi Kufanyiwa Kazi Kwa Kina Kuimarisha
Haki na Hadhi Nchini
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan,
ameielekeza Ofisi ya Waziri Mkuu kufanyia kazi kwa kina hoja zote
zili...
2 hours ago


No comments:
Post a Comment