Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeifuta kesi ya kutumia
lugha ya matusi kwa maofisa wa Jeshi la Polisi iliyokuwa ikimkabili aliyekuwa
Waziri wa Mambo ya Ndani nchini, Lawrence Masha (45) ambaye kwa sasa ni kada wa
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema).
Benki ya CRDB yakabidhi madarasa Sekondari ya Kikilo, Shule ya Msingi
Isabe, Kondoa
-
Benki ya CRDB kupitia sera yake ya uwekezaji kwa jamii, Aprili 24 - 25,
2024 ilikabidhi madarasa mawili katika Shule ya Sekondari Kikilo na
madarasa mengi...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment