Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Saturday, January 23, 2016

MATUKIO KUTOKA BUNGENI MJINI DODOMA LEO

Q1
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mbunge wa Iramba Mashariki, Allan Kiula kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Januai 23, 2016.
Q2
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mbunge wa Viti Maalum,Azza Hillal Hamad kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Januai 23, 2016.

 
Q3
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mbunge wa Viti Maalum,Cecilia Daniel Paresso kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Januai 23, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment