Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amewasimamisha kazi Kamishna Mkuu wa Uhamiaji Bwana Sylvester Ambokile na Kamishna wa Uhamiaji anayeshughulikia Utawala na fedha Bwana Piniel Mgonja ili kupisha uchunguzi, kufuatia dosari alizozibaini Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mheshimiwa Charles Kitwanga alipotembelea Idara ya Uhamiaji hivi karibuni.
NAIBU WAZIRI KAPINGA KUONGOZA USAMBAZAJI MITUNGI YA GESI 1000 ILIYOTOLEWA
NA TAIFA GESI
-
Na Mwandishi Wetu
NAIBU Waziri wa Nishati, Judith Kapinga ameahidi kuongoza kwa ufanisi
usambazaji wa mitungi ya gesi takribani 10,000 iliyotolewa na K...
40 minutes ago
No comments:
Post a Comment