Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amewasimamisha kazi Kamishna Mkuu wa Uhamiaji Bwana Sylvester Ambokile na Kamishna wa Uhamiaji anayeshughulikia Utawala na fedha Bwana Piniel Mgonja ili kupisha uchunguzi, kufuatia dosari alizozibaini Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mheshimiwa Charles Kitwanga alipotembelea Idara ya Uhamiaji hivi karibuni.
WALIPAKODI MKOANI TABORA WAAHIDI USHIRIKIANO NA TRA
-
Walipakodi mkoani Tabora wameahidi kuendelea kushirikiana na Mamlaka ya
Mapato Tanzania (TRA) kwa kulipa Kodi kwa hiari na kuwafichua
Wafanyabiasha...
36 minutes ago
No comments:
Post a Comment