Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Thursday, January 28, 2016

WAZIRI MKUU MAJALIWA AKUZUNGUMZA NA WABUNGE NJE YA UKUMBI WA BUNGE

majl1
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Wabunge kwenye viwanja vya Bunge jini Dodoma Januari 28, 2016. Kutoka kushoto ni Jumanne Kishimba wa Kahama, Edwin Ngonyani wa Namtumbo ambaye pia ni Naibu Waziri wa Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi, Hussein Amar wa Nyangwhale, Prosper Mbene wa Morogoro Kusini na Joseph Kalanda wa Sikonge. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
majl2

No comments:

Post a Comment