Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Tuesday, February 23, 2016

MAKAMU WA RAIS AKUTANA NA UJUMBE WA WATU WA CHINA NA MWENYEKITI WA SHELL DEEPWATER.

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia suluhu Hassan  akizungumza na Ujumbe wa kampuni ya Gezhouba kutoka China kuhusu masuala ya uwekezaji. Kushoto ni kiongozi wa msafara huo Mhandisi Hu pend.
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia suluhu Hassan  akiwa katika picha ya pamoja na Ujumbe wa kampuni ya Gezhouba kutoka China.

 
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia suluhu Hassan  akizungumza na Mwenyekiti wa Shell Deepwater Tanzania BV Alex Knope walipokutana  ofisini kwake Ikulu kwa ajili ya kumsalimia.

No comments:

Post a Comment